FURSA: Biashara ya Airport Shuttle Dar (JNIA) 2 Ubungo/Tegeta/ CBD/Mbagala

Jamani mm ninayo ila sijui nifanyeje hapo nipate mchongo...hata ikinipa 20,000 kwa siku
 
Pale airport ongea na wale Porters watakutafutia abiria mule ndani kabla abiria hawajatoka nje. Chukua tahadhari kwa wale wavaa ndala wanaojiita mataxi-dreva pale kwenye mabenchi hawana customer service kabisa. Wao kutwa kubishana mpira wa Yanga na Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…