Fursa: Biashara za kuuza sare za chama mikutanoni

Drop shipping Tanzania

Senior Member
Joined
Jun 15, 2020
Posts
198
Reaction score
481
Habari wakuu,

Mimi ni mjasiriamali mdogo nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza Flana na kofia (sare) za chama kama vile CCM na CHADEMA na ACT wazalendo kwenye mikutano Yao.

Je Kuna yoyote mwenye taarifa kuhusu hii biashara?

Nawasilisha na Shukurani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…