Buhaya boy
Member
- Jun 16, 2013
- 88
- 16
Kwanza wana jf oyee kwan hakuna mtandao wowote wa kijamii dunian nauheshim kama JF,
Nije kwenye point mimi natengeneza vitu tajwa hapo juu.Hata sasa nipo kanda ya ziwa nasambaza batik za vikoi.Kwa yeyote anaetaka kufundishwa,kununua jumla hasa batik tafadhali tuwasiliane .Nasema batik kwakuwa soko la sabun c changamoto sana --Mungu awabariki sana.
Nije kwenye point mimi natengeneza vitu tajwa hapo juu.Hata sasa nipo kanda ya ziwa nasambaza batik za vikoi.Kwa yeyote anaetaka kufundishwa,kununua jumla hasa batik tafadhali tuwasiliane .Nasema batik kwakuwa soko la sabun c changamoto sana --Mungu awabariki sana.