Fursa gani zinadharauliwa lakini zinaweza kukutoa kimaisha?

Biashara ya makopo, plastic na chupa zilizotumika (mtaji wake ni nguvu zako na vifaa vya kukusanyia)
 
Biashara ya kusambaza gas majumbani, inatakiwa uwe Na pikipik, frem, business card, Na kuwa Na utayari kuwahudumia wateja, then kuwa makini vishawishi ni vyingi hasa wakati wa mchana waume zao wakiwa kazini.
 
Sijampa vitisho Mkuu!
Ila angenijibu ningempa mchanganuo!
Unajua Kuna vitu ambavyo Huwa hatuambiani ukweli, unakuta mtu anaaminishwa na hawa mamotivational speaker wa kibongo kama kuku rahisi na wanalipa ila hawatoi changamoto mapema mpaka mtu unakuta ameshaunguza mtaji wote!

Na siunajua kwa sisi Vijana ukijipinda kupata hela ya kuanzia ukaunguza unavyouma?

Ndio lilikuwa lengo langu sio kumtisha,sorry kama alinielewa vibaya
 
Eheeee kama mikorogo ipi inafaaa ili niwauzie wapenda rangi nyeupe
Unatengeneza mwenyewe, unatafuta vifungashio , ukiweza una label Kabisa , unaweza kusupply mwenyewe au unatafuta Kijana wa kusupply oda Kinachofuata Matangazo ya kufa mtu insta Na facebook hufi njaa mjini shoo. Kopo Bei 20000 mpk 35000.
 
GAZETI Ulikuwa Na Ps 2 Au 3?
Na Vp Kuhusu Mapato Kwa Siku?
Nilikuwa natumia PS 2 na PC Kilikuwa kipindi kizuri sana Ofisi moja ilikuwa inaingiza
wastani wa 30,000 kwa siku hapo toa hela ya kula, kumlipa mfanyakazi yaani posho
na nauli. Jumamosi na Jumapili ilikuwa 75,000 mpaka 90,000 pia na sikukuu.

Ile ofisi nyingine nilikuwa naingiza 45,000 mpaka 60,000. Jumamosi na Jumapili pia
na siku za sikukuu ilikuwa 100,000 +

1.Mapato ya Ofisi ya kwanza kwa wiki ilikuwa mpaka 300,000 kwa mwezi 1,200,000.
2.Ya pili wastani wa 450,000 kwa wiki sawa na 1,800,000 kwa mwezi hivyo
kufanya Jumla ya 3,000,000.

NB. NIMEWAHI KUWEKWA NDANI NA WAZAZI KWA SABABU YA BIASHARA HII.
 
Nigeria Nouma. Afrika no 1 kwa utapeli na wizi.
 
Unatengeneza mwenyewe, unatafuta vifungashio , ukiweza una label Kabisa , unaweza kusupply mwenyewe au unatafuta Kijana wa kusupply oda Kinachofuata Matangazo ya kufa mtu insta Na facebook hufi njaa mjini shoo. Kopo Bei 20000 mpk 35000.
Shogaaa wakiunguwa usoooo
 
fursa zinatofautiana kulingana na mahali ulipo, ila hii isikupite: kufuga samaki, kulima vanilla, kulima vegetables, kuwaagizia watu mizigo nje ya nchi kwa faida, kumiliki frames za kukodisha kwa wafanyabiashara, kulima vitunguu saumu na tangawizi, etc
 
Sumu ya Nge mpaka upate lita tano mmh... hebu elezea tena huenda tukajitosa.
 
VIZURI MKUU GAZETI.
kwanini uliacha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…