Jembebutu
Member
- Feb 14, 2017
- 88
- 225
Salama wakuu?
Mitaani kuna mazungumzo kibao kuhusu fursa zilizo wazi mjini au nje ya mji wa Dodoma. Napenda kunufaika na mojawapo ya fursa hizo mjini au nje ya mji. Napenda kuzijua na pia kuteua iliyowazi kwangu kuifanyia kazi. Mtaji wangu ni 1.Mil ila tunaweza kuweka shughuki za kiwango chochote ili kuwanufaisha wengine pia. Tafadhali kwa menyewe uelewa tunatega masikio.
Shukran.
Mitaani kuna mazungumzo kibao kuhusu fursa zilizo wazi mjini au nje ya mji wa Dodoma. Napenda kunufaika na mojawapo ya fursa hizo mjini au nje ya mji. Napenda kuzijua na pia kuteua iliyowazi kwangu kuifanyia kazi. Mtaji wangu ni 1.Mil ila tunaweza kuweka shughuki za kiwango chochote ili kuwanufaisha wengine pia. Tafadhali kwa menyewe uelewa tunatega masikio.
Shukran.