sio crdb tu. bank nyingi tu niulizeni Mimi. mwezi wa name sasa nafuatilia mkopo. mwanzo walikuwa watamu kama asali baada kujaza fomu ila Sikh vigezo sijakamilisha Mara hawapokei Simu. sasa nimeamua kuomba benki nyingine yaani nikipa tu sipokei Simu na hiyo fomu wajikopeshe wenyewe.