Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Wakuu Leo nimeona nije na Mada hii ili ndugu zangu mlioko mjini mnufaike kupitia mawazo yangu!
Iko hivi mjini Kuna watu wengi tofauti na kijijni. Yaani Unakuta nyumba 1 Ina watu zaidi ya 20 wakiwemo wapangaji including watoto.
Kuna biashara ya vitafunwa yani maandazi ama chapati ama keki nk. Leo nije na maandazi.. Ukitengeneza maandazi 500. @1.Tsh 100 zidisha Mara 500 unapata 50000
Hapo ukitoa garama za Mafuta, mkaa ama kuni, Nguvu nk. Unakuta faida 20000 kwa siku. Zidisha siku 10 una laki mbili pembeni ya mtaji iko pale pale.
Swali unawezaje kuuza maandazi Mia 5 kwa siku?
Jibu: ukipita nyumba 1 yenye wapangaji let say 7.. Kila mtu akanunua maandazi 5 tayari 35 ukizunguka nyumba 20 tayari umemaliza kazi tena asubuhi asubui hapo hujauza wale wa njiani.
Kwa Leo naona niishie hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hivi mjini Kuna watu wengi tofauti na kijijni. Yaani Unakuta nyumba 1 Ina watu zaidi ya 20 wakiwemo wapangaji including watoto.
Kuna biashara ya vitafunwa yani maandazi ama chapati ama keki nk. Leo nije na maandazi.. Ukitengeneza maandazi 500. @1.Tsh 100 zidisha Mara 500 unapata 50000
Hapo ukitoa garama za Mafuta, mkaa ama kuni, Nguvu nk. Unakuta faida 20000 kwa siku. Zidisha siku 10 una laki mbili pembeni ya mtaji iko pale pale.
Swali unawezaje kuuza maandazi Mia 5 kwa siku?
Jibu: ukipita nyumba 1 yenye wapangaji let say 7.. Kila mtu akanunua maandazi 5 tayari 35 ukizunguka nyumba 20 tayari umemaliza kazi tena asubuhi asubui hapo hujauza wale wa njiani.
Kwa Leo naona niishie hapo
Sent using Jamii Forums mobile app