Poleni na majukumu ya hapa na pale wadau.
Leo nimewaletea fursa niliyoiona nataka tushirikishane ideas.
Iko wazi sasa hivi kuwa biashara ya mazao nchini imekua mbaya hii nikutokana na masoko ya nje kufungwa. Lakini kitu ninachokiamini ni kua biashara ya mazao haiwezi kua chini daima lazima itanyanyuka tena.
Sasa basi huu ni mda wa kununua mazao na kuyahifadhi.ili pindi biashara ya mazao itakapochanganya basi ule matunda yako. Utafiti nilioufanya mkoa wa sogwe.
Debe 1 la mahindi ni 5000/=
Gunia debe 6 35000/=
Bei ambayo ni sawa na bure kiasi cha kwamba ikitokea Soko likafunguliwa debe la mahindi huwa ni zaidi ya 10,000\=
Fursa hiyo vijana tuichangamkie.
Pia atakaekuwa interested na fursa anitafute naweza kuwa wakala mzuri wa mazao mkoa wa songwe.
0755553249.
Leo nimewaletea fursa niliyoiona nataka tushirikishane ideas.
Iko wazi sasa hivi kuwa biashara ya mazao nchini imekua mbaya hii nikutokana na masoko ya nje kufungwa. Lakini kitu ninachokiamini ni kua biashara ya mazao haiwezi kua chini daima lazima itanyanyuka tena.
Sasa basi huu ni mda wa kununua mazao na kuyahifadhi.ili pindi biashara ya mazao itakapochanganya basi ule matunda yako. Utafiti nilioufanya mkoa wa sogwe.
Debe 1 la mahindi ni 5000/=
Gunia debe 6 35000/=
Bei ambayo ni sawa na bure kiasi cha kwamba ikitokea Soko likafunguliwa debe la mahindi huwa ni zaidi ya 10,000\=
Fursa hiyo vijana tuichangamkie.
Pia atakaekuwa interested na fursa anitafute naweza kuwa wakala mzuri wa mazao mkoa wa songwe.
0755553249.