Fursa hii si ya kukosa kama mjasiriamali

Singidan

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
881
Reaction score
942
Habari wana Jf.
Ukiwa kama mjasiriamali huru, unatakiwa kuwa huru kwa maana kuchunguza fursa popote na kuzitumia ipasavyo. Ifuatayo ni Fursa ya kupata notes bora za kutengeneza sumu za wadudu na bidhaa mblmbli. Kwa sh elfu 1 tu kila nondo.
1/nondo (11) za organic pesticides na insecticides
2/sabuni ya majivu ya kuogea
3.ya majivu ya kufulia
4/ya magadi
5/ya kunawia mikono
6/ya maji
8/ya magadi
9/ya unga
10/ya mche
11/shampoo ya kawaida na
12/ya virutubisho 13/mishumaa ya kawaida na
14/ya kufukuza mbu
15/mafuta ya mgando ya kujipaka
16/dawa ya kusafishia choo
17/dawa ya madoa
18/tiles cleaner 19/carpet cleaner
20/window cleaner
21/strain remover
22/maji ya betri. Unatakiwa kuwa na email then unitumie kupitia 0673114461 Nondo unazotaka.
Pia unaweza kupta sample ya nondo kupitia blog yangu mpya
www.mjasiriamali.heck.in
 
Nim
nmeipata mkuu ni wazo kuntu
 
hapo si unatengeneza nuclear bomb kabisa? maana huo mchanganyiko duh hatari!
 
Mkuu angalia hiyo orodha hapo then tatizo lako litakuwa limesoviwa che GUAVARA-II
 
Hiii kitu nzuri ntakucheki mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…