Fursa: Hizi ndio fursa zinazopatikana Vijijini na Mijini

Fursa: Hizi ndio fursa zinazopatikana Vijijini na Mijini

The man1

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2018
Posts
429
Reaction score
382
Habari? pole kwa kazi yakujenga taifa.
Kama kichwa kinavyojieleza, zifuatazo ni fursa mbalimbali, katika nyanja mbalimbali pia Waweza ongezea fursa uzionazo mahali ulipo? sharing is caring

FURSA MBALIMBAL
Villages:

  • KILIMO
  • Kulima/Ufugaji
  • Kununua nakuuza nafaka
  • Kusindika
  • Kulima (Kahawa, Maharage , Mahindi, Ngano, Kunde, Mpunga, Nyanya, vitunguu n.k
i)Kahawa

-Plot moja = may contains 200 trees

Its costs depend on the agreement, and nature of those trees= 500000/=Tzs minimum
  • Mahitaji:
  • mbolea
  • Mifuko miwili= 100,000/=Tshs
  • Madawa:
  • -Costs 50,000/=Tshs
Gharama zakupalilia, kukatia..n.k = Agreements (Cost).

NB: Kama hiyo plot ndio inaanzishwa:

1 trees = 500;/=Tzs

Plot for 200trees may cost= 300,000/=tzs.

-Will take 3 years for harvest time to come…

  • Changamoto
  • Wadudu na Magonjwa
  • Kushuka nakupanda kwa bei ya uuzaji na ununuzi
  • Uchukua muda mrefu mpaka kufika mavuno
  • Gharama za utunzaji wamimea

KUNUNUA NAKUUZA:

  • Mazao (Mpunga, Ngano, Maharage
  • Unanunua kwa bei ya chini nakuuza kwa bei ya juu
  • Mfano, waweza nunua vijijini wauzia mjini
  • Au wanunua kijijini then wahifadhi then bei ipandapo wauzia hapo hapo vijijini.
  • Mifugo
  • As explained above
Mahitaji:
  • Mtaji-Htawezesha ununuzi, usafirishaji na utunzaji
  • Soko
  • Elimu na Ujuzi kuhusiana naununuzi na uuzaji.
  • Be specific
  • -Hii itawezesha uwe na uwezo wakujua nakurebisha unapokosea nakuongeza ubora…
  • n.k
Changamoto
  • Usafirishaji
  • Soko
  • Kuharibika kwa mazao
  • Magonjwa (Mifugo)
  • Wizi (endapo hakuna uangalifu wakutosha eneo utunziapo mazao/mifugo)
  • Ushindani
NB; Ongeza thamani (Value addition)
  • BIASHARA
  • Duka/ Genge
  • You can be specific if you found some competion on market
  • Ukopeshaji wa pesa, mbolea au madawa msimu wakilimo.
  • -Kwa mabadilishano na mazao/mifugo wakati wamavuno
  • Mfano: Elfu mbili =kwakila dumla ya ngano =4000/=Tzs uuzapo baada ya mavuno.
  • Mpunga:
  • Mfuko 1 wambolea= 1 roba la mpunga (baada ya mavuno)
  • Uuzaji wa minada (Nguo e.g. Vitenge, viatu, vyombo n.k)
  • -Mara nyingi huwa ya msimu
  • Ukodishwaji wa spika( Mziki) katika sherehe.
  • Saluni (Kwavijiji ambavyo ni nuclear)
  • Uuzaji Wanyama (Supu, n.k)
  • Uuzaji wa vinywaji/vilezi (virabu/bar)
  • Ushonaji (especially Nguo).
  • Huduma za Mpesa, n.k, vilevile usajilishaji wa line za simu.
  • Usafirishaji (Pikipiki,pawatila..) wa bidhaa, watu n.k
Important: Pawatila pia laweza kutumiwa katika upukuchuaji wamahindi, Hivyo waweza kodisha.
  • Kufanya vibarua (Kulima, usafisha wamashamba n.k).
  • Uwakala wamazao (Ukusanyaji wamazao).
  • Umiliki wa Chainsaw nakukodisha.
  • Kukodisha generator
  • Umiliki wamashine za upukuchuaji mahindi (Pawatila).
  • Mashine ya kusaga nakukoboa mazao.

  • Ufundi (Ujenzi, Useremala, radio, n.k)
  • Umiliki wa mashine yakuchomelea


TOWN:

1: Biashara

  • Duka/Genge
  • Be specific in case you found out market competition
  • Kukodisha vitu:
  • Maturubai (Tents) katika mikutano au sherehe au tukio lolote
  • Mashine mbalimbali (zakuchomelea, Chainsaw, Cherehani, zakutotolesha vifaranga n.k)
  • Vifaa vya Muziki.
  • Vyombo vya usafiri
  • Frame za biashara/Kiofisi

  • Ununuzi na uuzaji wa nafaka
  • Uuzaji wa vyakula na vinywaji (Mgahawa, hoteli, usambazaji n.k)
  • Huduma za mpesa, tigopesa n.k
  • Uwakala wa huduma zakibenki
  • Udalali
  • Uwakala wa mazao
  • Uuzaji wa Minada
  • Ukopeshaji wa Fedha
  • Usafirishaji (Boda, Bajaji, fuso, n.k).
  • Saloon (Kike kwa kiume).
  • Mfanya usafi (waweza miliki mashine zakufulia, usafi katika various company and others)
  • Camera man (Photo and video studios)
  • Madini (kama una connecton nzuri).
  • Bakery (waweza miliki oven navitu kidogo nakuanza kazi)..
  • Bwana masoko (or middle men (Kazi yako nikuzunguka kutafuta masoko tu then wawasiliana nammiliki wa bidhaa upokeapo order)
  • Uuzaji wasamaki/nafaka n.k (Maeneo ya vyuo inalipa sana with free delivery)
2. Ufundi

  • Ujenzi (Waweza jifunzia kwa fundi then veta)
  • Ushonaji wanguo, n.k
  • Umeme (waweza anza jifunzia kwamtu then college/veta)
  • Simu and other electronic equipment
  • IT works (website designing, windows, apps, n.k)


3. Kilimo na Ufugaji

  • Bustani ya mbogamboga
  • Ufugaji wa mifugo mbalimbali
  • Umiliki wa mashine zakutolelesha vifaranga
  • N.k
4. Elimu

  • Kusajili kampuni yakutoa elimu vijijin/mjini (Hii itawezesha kupata misaada ambayo ndio itakua kula yenu)
  • Tution centers and other non-formal education organization
  • Kumiliki laboratory au vifaa vitumikavyo laboratory nakukodisha kwa order mashuleni.
  • Uwakala wa vyakula mashuleni/School canteen/Cf
  • Kuandika nakuchapisha nakala/vitabu nakuuza (Soved question book)
  • Kutengeneza website zashule (and other ICT works)
  • Stationaries
  • Huduma zakifedha mashuleni (Mpesa, n.k
  • Kufungua duka lashule (makubaliano tu)
  • Kumiliki hostels
  • N.K
5. Siasa

  • Kushona na kuuza sare za vyama
 
Hiyo ya kumiliki Vifaa vya labalatory na kukodisha kwa order mashuleni ipoje
 
Habari? pole kwa kazi yakujenga taifa.
Kama kichwa kinavyojieleza, zifuatazo ni fursa mbalimbali, katika nyanja mbalimbali pia Waweza ongezea fursa uzionazo mahali ulipo? sharing is caring

FURSA MBALIMBALI

Villages:

  • KILIMO
  • Kulima/Ufugaji
  • Kununua nakuuza nafaka
  • Kusindika
  • Kulima (Kahawa, Maharage , Mahindi, Ngano, Kunde, Mpunga, Nyanya, vitunguu n.k
i)Kahawa

-Plot moja = may contains 200 trees

Its costs depend on the agreement, and nature of those trees= 500000/=Tzs minimum

  • Mahitaji:
  • mbolea
  • Mifuko miwili= 100,000/=Tshs
  • Madawa:
  • -Costs 50,000/=Tshs
Gharama zakupalilia, kukatia..n.k = Agreements (Cost).

NB: Kama hiyo plot ndio inaanzishwa:

1 trees = 500;/=Tzs

Plot for 200trees may cost= 300,000/=tzs.

-Will take 3 years for harvest time to come…



  • Changamoto
  • Wadudu na Magonjwa
  • Kushuka nakupanda kwa bei ya uuzaji na ununuzi
  • Uchukua muda mrefu mpaka kufika mavuno
  • Gharama za utunzaji wamimea

KUNUNUA NAKUUZA:

  • Mazao (Mpunga, Ngano, Maharage
  • Unanunua kwa bei ya chini nakuuza kwa bei ya juu
  • Mfano, waweza nunua vijijini wauzia mjini
  • Au wanunua kijijini then wahifadhi then bei ipandapo wauzia hapo hapo vijijini.
  • Mifugo
  • As explained above
Mahitaji:

  • Mtaji-Htawezesha ununuzi, usafirishaji na utunzaji
  • Soko
  • Elimu na Ujuzi kuhusiana naununuzi na uuzaji.
  • Be specific
  • -Hii itawezesha uwe na uwezo wakujua nakurebisha unapokosea nakuongeza ubora…
  • n.k
Changamoto

  • Usafirishaji
  • Soko
  • Kuharibika kwa mazao
  • Magonjwa (Mifugo)
  • Wizi (endapo hakuna uangalifu wakutosha eneo utunziapo mazao/mifugo)
  • Ushindani
NB; Ongeza thamani (Value addition)



  • BIASHARA
  • Duka/ Genge
  • You can be specific if you found some competion on market
  • Ukopeshaji wa pesa, mbolea au madawa msimu wakilimo.
  • -Kwa mabadilishano na mazao/mifugo wakati wamavuno
  • Mfano: Elfu mbili =kwakila dumla ya ngano =4000/=Tzs uuzapo baada ya mavuno.
  • Mpunga:
  • Mfuko 1 wambolea= 1 roba la mpunga (baada ya mavuno)

  • Uuzaji wa minada (Nguo e.g. Vitenge, viatu, vyombo n.k)
  • -Mara nyingi huwa ya msimu
  • Ukodishwaji wa spika( Mziki) katika sherehe.
  • Saluni (Kwavijiji ambavyo ni nuclear)
  • Uuzaji Wanyama (Supu, n.k)
  • Uuzaji wa vinywaji/vilezi (virabu/bar)

  • Ushonaji (especially Nguo).
  • Huduma za Mpesa, n.k, vilevile usajilishaji wa line za simu.
  • Usafirishaji (Pikipiki,pawatila..) wa bidhaa, watu n.k
Important: Pawatila pia laweza kutumiwa katika upukuchuaji wamahindi, Hivyo waweza kodisha.

  • Kufanya vibarua (Kulima, usafisha wamashamba n.k).
  • Uwakala wamazao (Ukusanyaji wamazao).
  • Umiliki wa Chainsaw nakukodisha.
  • Kukodisha generator
  • Umiliki wamashine za upukuchuaji mahindi (Pawatila).
  • Mashine ya kusaga nakukoboa mazao.

  • Ufundi (Ujenzi, Useremala, radio, n.k)
  • Umiliki wa mashine yakuchomelea


TOWN:

1: Biashara

  • Duka/Genge
  • Be specific in case you found out market competition
  • Kukodisha vitu:
  • Maturubai (Tents) katika mikutano au sherehe au tukio lolote
  • Mashine mbalimbali (zakuchomelea, Chainsaw, Cherehani, zakutotolesha vifaranga n.k)
  • Vifaa vya Muziki.
  • Vyombo vya usafiri
  • Frame za biashara/Kiofisi

  • Ununuzi na uuzaji wa nafaka
  • Uuzaji wa vyakula na vinywaji (Mgahawa, hoteli, usambazaji n.k)
  • Huduma za mpesa, tigopesa n.k
  • Uwakala wa huduma zakibenki
  • Udalali
  • Uwakala wa mazao
  • Uuzaji wa Minada
  • Ukopeshaji wa Fedha
  • Usafirishaji (Boda, Bajaji, fuso, n.k).
  • Saloon (Kike kwa kiume).
  • Mfanya usafi (waweza miliki mashine zakufulia, usafi katika various company and others)
  • Camera man (Photo and video studios)
  • Madini (kama una connecton nzuri).
  • Bakery (waweza miliki oven navitu kidogo nakuanza kazi)..
  • Bwana masoko (or middle men (Kazi yako nikuzunguka kutafuta masoko tu then wawasiliana nammiliki wa bidhaa upokeapo order)
  • Uuzaji wasamaki/nafaka n.k (Maeneo ya vyuo inalipa sana with free delivery)
2. Ufundi

  • Ujenzi (Waweza jifunzia kwa fundi then veta)
  • Ushonaji wanguo, n.k
  • Umeme (waweza anza jifunzia kwamtu then college/veta)
  • Simu and other electronic equipment
  • IT works (website designing, windows, apps, n.k)


3. Kilimo na Ufugaji

  • Bustani ya mbogamboga
  • Ufugaji wa mifugo mbalimbali
  • Umiliki wa mashine zakutolelesha vifaranga
  • N.k
4. Elimu

  • Kusajili kampuni yakutoa elimu vijijin/mjini (Hii itawezesha kupata misaada ambayo ndio itakua kula yenu)
  • Tution centers and other non-formal education organization
  • Kumiliki laboratory au vifaa vitumikavyo laboratory nakukodisha kwa order mashuleni.
  • Uwakala wa vyakula mashuleni/School canteen/Cf
  • Kuandika nakuchapisha nakala/vitabu nakuuza (Soved question book)
  • Kutengeneza website zashule (and other ICT works)
  • Stationaries
  • Huduma zakifedha mashuleni (Mpesa, n.k
  • Kufungua duka lashule (makubaliano tu)
  • Kumiliki hostels
  • N.K
5. Siasa

  • Kushona na kuuza sare za vyama
Wapi na subscribe huu Uzi? Mzuri sana.
 
Hiyo ya kumiliki Vifaa vya labalatory na kukodisha kwa order mashuleni ipoje
Unaenda kuonana na mkuu wa shule then kipindi cha practical watakuwa wanakuja kuchukua vifaa kwako kwa gharama zozote utazo wapsngia kwa muda kadhaa then wanavirudisha.

Ukumbuke vitu vya kukodi hivi Mara nyingi huwaga bei inasomeka kwa siku so km wakikodi kwa miezi mi3 una hela yako ya siku 90.
 
Unaenda kuonana na mkuu wa shule then kipindi cha practical watakuwa wanakuja kuchukua vifaa kwako kwa gharama zozote utazo wapsngia kwa muda kadhaa then wanavirudisha.

Ukumbuke vitu vya kukodi hivi Mara nyingi huwaga bei inasomeka kwa siku so km wakikodi kwa miezi mi3 una hela yako ya siku 90.
Shukrani mkuu hivi Vifaa vinapatikana maduka gani kkoo
 
Shukrani mkuu hivi Vifaa vinapatikana maduka gani kkoo
Ngoja ntakupasia mtu akujuze na bei kabisa.

BT tafta soko kwanza km una hela ya MTAji.

Anza na soko.

Maana dar shule nyingi zina vifaa.
 
Sawa mkuu nasubiri
Jaribu kwenda pale Marangu Healthy services (MHS) ,, IPO mtaa wa lindi plot 65.

Nisije kukupa mawasiliano ukapigwa cha udalali bure.

Jiendee mwenyewe ufanye tafiti. Ukikosa unachotaka waulize wakuelekezeee pengine maana wanajuana wao kwa wao.
 
Watu mnaishi maisha gani? Mbna nyuzi za hivi hamchangii sana?
[emoji848]
Mfumo uliopo umetufikisha mahali ambapo mambo ya msingi na umuhimu hatuyapi kipaumbele..ila Yale ya hovyoo yasiyo na tija ndio tunaweka nguvu na bando huko. Usistaajabu Uzi huu kua na wachangiaji wachache .
 
Back
Top Bottom