Fursa jijini Mombasa

kina dada mko wapi na fursa za urembo,kama vp endeleeni kulala
 
Nina samaki wa mapambo naweza kupata soko la uhakika?

Samaki toka Nyasa, Tanganyika au Victoria? unaweza kuwapata wengi? nje ya samaki wa mapambo kuna nn kingine unacho? Kaa?
 
zilizobanguliwa inatosha kabisa packed wanatafanya wenyewe,ukifika ulizia mtaa waitwa black markeit hapo ,

Mkuu vp biashara ya kazi za sanaa ishaanza kusimama Mombasa au hata Nai? painting pictures, culture n.k
 
Mkuu Falcon unaweza kutuambia bei ya vitunguu saumu kwa vipimo vinavyotumika huko? Nashukuru sana, ubarikiwe sana
 
Mkuu vp biashara ya kazi za sanaa ishaanza kusimama Mombasa au hata Nai? painting pictures, culture n.k

kazi za sanaa hadi malindi huko hata ukitaka kuoa muitaliano na ndio ndugu zetu wengi wanapoharibikia
 
Mkuu Falcon unaweza kutuambia bei ya vitunguu saumu kwa vipimo vinavyotumika huko? Nashukuru sana, ubarikiwe sana

kwa watu wasokoni wanavijua viroba vya nyavu nyavu vinabeba kilo 13, bei nitaweka hapa muda si mrefu
 
Mkuu vp biashara ya kazi za sanaa ishaanza kusimama Mombasa au hata Nai? painting pictures, culture n.k

mkuu uko na mzigo leta kenya kazi za sanaa ni ubilionea hapa ,njo uchukua kenya money
 
Samaki toka Nyasa, Tanganyika au Victoria? unaweza kuwapata wengi? nje ya samaki wa mapambo kuna nn kingine unacho? Kaa?

kumbuka hawajui ziwa victoria, sema ziwa nyanza, pia dagaa wanalipa sana japokuwa hawaiti dagaa kama tz
 
Umetisha sana mkuu falcon mombasa, God bless you. Paranoiacs wamebaki midomo wazi

wengine wananitumia PM wananiuliza mombasa inafananaje, jamani kwa faida ya wote jiji la MOMBASA NA DAR ER SALAAM ni sawa kwa karibia kila kitu kimuonekano japo kuwa mombasa atleast unaweza kuoa mwarabu,mgunya ,m'bajuni,goha,msomali na hata muhind sumtime, kitu ambacho kwa dar ni nadra
 
Last edited by a moderator:
Kwa yeyote mwenye swali kuhusu fursa za aina mbalimbali katika jiji la Mombasa (MSA) na Kenya in general aniulize hapa. Mimi ni Mtanzania mwenzenu niko hapa kwa mwaka wa tano na napenda kumeet na wapiganaji wenzangu wa maisha.

Vipi Wanamombasa wanarejea lini nyumbani TanZania Kubwa? au hawana mpango kabisa wanataka kubakia Kenya?
 
Vipi Wanamombasa wanarejea lini nyumbani TanZania Kubwa? au hawana mpango kabisa wanataka kubakia Kenya?

sina mpango wa kuish tanzania ila huwa nakujaganga kuona ndugu jamaa na marafiki,wazazi wako dar,nilisoma hapo kimara na bagamoyo secondary school pia nilisomaga na chuo flani hapo town,umri nimezaliwa march 1990 na ni mkatoliki,napenda chama kinachofanya vizuri kwa raia wake sababu fursa ni nyingi ila serikali ya tanzania inawakwamisha sana vijana ukilinganisha na kenya ambapo rasimali mingi hutoka nyumbani tanzania. 5000 KSH = 99700 TSH
 

here we go! bagamoyo ulisoma mwaka gani mkuu? seems like ur my school mate hope huwezi niangusha nataka nifanye mchakato wa kuleta korosho huko!
 
here we go! bagamoyo ulisoma mwaka gani mkuu? seems like ur my school mate hope huwezi niangusha nataka nifanye mchakato wa kuleta korosho huko!

mi ni mdogo brother 2004 hadi 2007, niliwacha wakina mwalimu kitungwa,nkwera,kasanga,biluko,masenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…