nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 693
Habari wana JamiiForums,
Natumaini nyote ni wazima wa afya, kwa wale wanaosumbuliwa na maradhi nawaombea kwa Mungu mpate kupona mapema.
Binafsi nina "BRILLIANT IDEA" ambayo nimeifanyia research kwa mda mrefu, na nimejiridhisha kwamba endapo wazo langu litatumiwa na tasisi za kifedha litaweza kuwapatia faida kubwa sana.
Kwa tasisi moja ya kifedha, kama bank ikilitumia wazo langu vizuri litaweza kutengeneza faida ya zaidi ya Billion 6 kwa mwaka, kwa kuwa wazo langu ni UNIQUE na linaleta faida kubwa ya kifedha.
Niko tayari kuzungumza na General Manager au Manager mkubwa yoyote katika tasisi ya kifedha lakini siko tayari kuzungumza na ofisa yoyote wa ngazi ya chini katika tasisi yoyote ya kifedha kwa sababu nahofia wazo langu kuchakachuliwa. Kama kuna tasisi yoyote ya kifedha ambayo itahitaji wazo langu naomba wani PM tuwasiliane!
Asante sana!
Natumaini nyote ni wazima wa afya, kwa wale wanaosumbuliwa na maradhi nawaombea kwa Mungu mpate kupona mapema.
Binafsi nina "BRILLIANT IDEA" ambayo nimeifanyia research kwa mda mrefu, na nimejiridhisha kwamba endapo wazo langu litatumiwa na tasisi za kifedha litaweza kuwapatia faida kubwa sana.
Kwa tasisi moja ya kifedha, kama bank ikilitumia wazo langu vizuri litaweza kutengeneza faida ya zaidi ya Billion 6 kwa mwaka, kwa kuwa wazo langu ni UNIQUE na linaleta faida kubwa ya kifedha.
Niko tayari kuzungumza na General Manager au Manager mkubwa yoyote katika tasisi ya kifedha lakini siko tayari kuzungumza na ofisa yoyote wa ngazi ya chini katika tasisi yoyote ya kifedha kwa sababu nahofia wazo langu kuchakachuliwa. Kama kuna tasisi yoyote ya kifedha ambayo itahitaji wazo langu naomba wani PM tuwasiliane!
Asante sana!