king Davidson
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 252
- 1,063
Natafuta vijana 200 ambao tutaunda group la Whatsapp kwa commitment ya kuchangia kwa kutuma moja kwa moja kwenye benki husika sh. 50,000 mpaka 84,000 kila mwisho wa mwezi ambazo zitawekwa kwenye FIXED DEPOSIT ACCOUNT benki kwa kuanzia Januari mpaka December 2018 ili kwa pamoja tuwe na mtaji wa sh. 120,000,000 mpaka 200,000,000 ifikapo December 2018 zitakazotuwezesha kufanya mradi mkubwa utakaopendekezwa na group members na sote tukawa na umiliki kwenye mradi huo mfano: kufungua kiwanda etc. Kama upo interested nicheki inbox nikutumie link ya kujoin group tuiboreshe hii project. I need vijana walio serious tu!
Tanzania Investment Group
Tanzania Investment Group