Fursa Mafinga, Iringa

Joined
Oct 27, 2013
Posts
16
Reaction score
13
Naombeni nifahamishwe kuhusu gharama za kusafirisha mbao toka Mafinga kuja Dar es salaam. Je,unafata mtiririko upi ? Je, pia kwa mkoa wa Iringa biashara ya mitumba inalipa?
 
Mkuu ni copy na mm huo utaratibu,
Pia kama unaeza jua juu ya upatikanaji wa mashamba ya miti plz nao nahitaji kujua hasa kuhusu bei kwa mashamba mapya yaani yasiyo na miti!

Unataka kununua shamba lililo na miti au unataka kupanda mwenyewe?
 
Nunua shamba panda miti, utavuna mamilioni. Mimi nina miti, pole za nguzo za umeme. Ukihitaji njoo ukate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…