Fursa: Milionea anatafuta mke

hapo huyo mwanamke akishaolewa bado hajamkosea
najiuliza tu iyo adhabu atakayopewa
 
Sharti lingine kidole chake cha mkononi kilingane na ukubwa wa size ya pete atakayomvalisha lasivyo atatakiwa kujikondesha au kujinenepesha
 
Mbona kama fomu ya kuchukulia mkopo ndugu!!!! Aki wacha nikufwe na utamu wangu tuu,sio kwa masharti hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…