Fursa /msaada -Morogoro

Kama upo seriously iyo fursa lazima unishirikishe kisha tunafanya pamoja na faida tuna gawana sawa 50/50 ...vinginevyo nenda Bayport ndani ya saa 24 utakuwa umesaidika pia kohonda kuna microfinance kibao kama unakizi vigezo watembelee
 
Kama upo seriously iyo fursa lazima unishirikishe kisha tunafanya pamoja na faida tuna gawana sawa 50/50 ...vinginevyo nenda Bayport ndani ya saa 24 utakuwa umesaidika pia kohonda kuna microfinance kibao kama unakizi vigezo watembelee
Hao bayport masaa 24? Itakuwa late sana. Kihonda kuna microfinance zipi?
 
Kuna mtu atatapeliwa hapa
 
Iyo sio fursa bali ni upigaji yani kiwanja ndio unawambia watu bond acha masihala na pesa saiv ni ngumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…