Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,904
WanaJF,
Majuzi nilikuwa nawasikiliza wasomi wa SUA walioenda Uturuki na kurudi na taaluma nzuri hoticulture. Ktk maelezo yao nilifurahi JInsi ambavyo unaweza kulima hekta moja (eka 2 na nusu) na kupata faida kubwa sana ndani ya mwaka mmoja. Gharama ya semina hiyo ya siku moja ni Tsh 65,000. Itafanyika tarehe 11kuanzia saa mbili asubuhi, ktk ukombi koma koma house mwananyamala, mkabala na jengo la Bank ya Akiba Commercial Bank. Kwa maelezo zaidi kuhusu Location mpigie mkurugenzi wao (0617 135869)
NB. Mimi siyo sehemu ya hiyo kampuni ila natoa fursa kwenu ninyi wanajf ili tukafaidi wote.
Majuzi nilikuwa nawasikiliza wasomi wa SUA walioenda Uturuki na kurudi na taaluma nzuri hoticulture. Ktk maelezo yao nilifurahi JInsi ambavyo unaweza kulima hekta moja (eka 2 na nusu) na kupata faida kubwa sana ndani ya mwaka mmoja. Gharama ya semina hiyo ya siku moja ni Tsh 65,000. Itafanyika tarehe 11kuanzia saa mbili asubuhi, ktk ukombi koma koma house mwananyamala, mkabala na jengo la Bank ya Akiba Commercial Bank. Kwa maelezo zaidi kuhusu Location mpigie mkurugenzi wao (0617 135869)
NB. Mimi siyo sehemu ya hiyo kampuni ila natoa fursa kwenu ninyi wanajf ili tukafaidi wote.