Fursa nyingi ni za kweli sio utapeli

Norphine

Member
Joined
Mar 8, 2015
Posts
7
Reaction score
0
umeshawahi kujiunga na market networking yoyote ambayo hadi leo hii hujaona mafanikio?hii haina utapeli ni ya kweli mimi nimeona,zanteli wakishilikina na kampuni ya rifaroafrica wameungana kufanya biashara ya mtandao ambapo kwa mtaji wa 76500 tu unaweza kupata zaidi ya milion moja kwa mwezi,karibu mjaribu fursa hii,kwa maelezo zaidi piga au sms namba 0778369654.
 

Mh. Too good to be true
 
Hapo ndio mnawakamatia wake zetu, akisikia M 1 kwa mwezi hata umueleweshe vipi hasikii kitu, mpaka atakapokuwa ameliwa ndio analudi kichwa chini.
 
NEXTLEVEL rudisha ile avator yako iliyozoeleka mkuu. Vipi hii link wewe umeijaribu? umefanikiwa kupata mkwanja?
 
NEXTLEVEL rudisha ile avator yako iliyozoeleka mkuu. Vipi hii link wewe umeijaribu? umefanikiwa kupata mkwanja?

Hii kaka niuhakika ila unaanza na dollar $0.01 kama hutengenezi network utaendelea kupata vihela vidogo ujanja kualika watu wapya nawao wanavyo alika mambo yanakuwa mazuri. Pia ukijiunga watu wengi wanakufollow na kukuadd kama friend maana kila mtu yuko money oriented,mimi mwenyeji huko ukifika utaona page yangu.
 
Hapo ndio mnawakamatia wake zetu, akisikia M 1 kwa mwezi hata umueleweshe vipi hasikii kitu, mpaka atakapokuwa ameliwa ndio analudi kichwa chini.

Kaka hapa waweza saidiana shem maana hamtoi centi hata moja
Nufaika nautumiaji wako wa internet kwa kujipatia fedha kila ikifika $100 unaidraw nirahisi na bure kabisa alika watutengeneza network yako nikama facebook,ila unalipwa kutokana na matangazo kwenye ukurasa wako au wa vizazi vyako. Fuata link hiyo chini kufungua acount CODE ni kasaz

https://www.tsu.co/kasaz

View attachment 233478
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…