FURSA: Una wazo la biashara lakini hauna mtaji? Pitia hapa

FURSA: Una wazo la biashara lakini hauna mtaji? Pitia hapa

AbaMukulu

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2018
Posts
2,053
Reaction score
3,586
Mzee Reginald Mengi ametangaza fursa ya mtaji wa $ 20 000/- kwa vijana walio chini ya miaka 35. Watahitajika vijana wawili ambao kila mmoja atakunja $ 20 000/
 
Screenshot_2018-06-05-22-34-40.png
 
Baki na idea yako ndani itakuletea mamilioni.

Kwani hujui namna ya kuilinda idea yako isiibiwe? Hakuna wanasheria?

Mawazo potofu yanafanya watu wafe maskini.

Kuna haja ya vijana kufundishwa kuhusu 'Venture Capital'
 
Tunatuma kwa kiingereza au kwa kiswahili?
 
Back
Top Bottom