Natafuta mtu wa kushirikiana nae, kwenye compliance nipo 100% clear, Sasa natafuta supplier au vendor tufanye kazi.... Sijui kama umenielewa Kaka. ? Yaani Kuna watu utakuta amekwama sababu ya compliance tu,Sasa tunafanya kazi on % basisUbatafuta mtu aongeze mtaji au unatafuta mteja wa vinywaji? maana hao wote ni client
Unamaanisha afisa masoko sio??Natafuta mtu wa kushirikiana nae, kwenye compliance nipo 100% clear, Sasa natafuta supplier au vendor tufanye kazi.... Sijui kama umenielewa Kaka. ? Yaani Kuna watu utakuta amekwama sababu ya compliance tu,Sasa tunafanya kazi on % basis
Hebu fafanua huo ushirikiano. Wewe unatoa nini na unategemea business partner atoe nini?Habari zenu wadau, Mimi ni kijana nimejiajiri kwenye sekta binafsi lakini pia nina kampuni yangu nimefungua, Sasa natafuta Client yoyote ambaye naweza kushirikiana nae kufanya biashara ya vinywaji vikali.
Documents zote zipo;
1. TIN
2. TAX CLEARANCE (ya 2024)
3. LIQUOR LICENSE
4. OTHER BRELA DOCUMENTS.
Kama una kazi njoo Basi tuangalie namna gani ya kuingia makubaliano na kufanya kazi Ahsante sana
Mawasiliano yangu; 0710782874
(Kwa mtu ambaye yupo siriaz tu)
Bado hujaeleweka, hafu punguza kingereza ndo maana tunachelewa kukuelewaNatafuta mtu wa kushirikiana nae, kwenye compliance nipo 100% clear, Sasa natafuta supplier au vendor tufanye kazi.... Sijui kama umenielewa Kaka. ? Yaani Kuna watu utakuta amekwama sababu ya compliance tu,Sasa tunafanya kazi on % basis
Inshort, jamaa anatafuta supplier ambae atasambaza vinywaji vyake.Bado hujaeleweka, hafu punguza kingereza ndo maana tunachelewa kukuelewa
Mimi nipo na duka kubwa la vinywaji vikali vya jumla jumla leta mzigo.Habari zenu wadau, Mimi ni kijana nimejiajiri kwenye sekta binafsi lakini pia nina kampuni yangu nimefungua, Sasa natafuta Client yoyote ambaye naweza kushirikiana nae kufanya biashara ya vinywaji vikali.
Documents zote zipo;
1. TIN
2. TAX CLEARANCE (ya 2024)
3. LIQUOR LICENSE
4. OTHER BRELA DOCUMENTS.
Kama una kazi njoo Basi tuangalie namna gani ya kuingia makubaliano na kufanya kazi Ahsante sana
Mawasiliano yangu; 0710782874
(Kwa mtu ambaye yupo siriaz tu)
Anhaa nimekuelewa, sikukatishi tamaa lakini paka mtu awe na mtaji anunue vinywaji vya kusambaza atashindwa kucomply na vitu vidogo vidogo kama TRA na halmashauri kweli.Natafuta mtu wa kushirikiana nae, kwenye compliance nipo 100% clear, Sasa natafuta supplier au vendor tufanye kazi.... Sijui kama umenielewa Kaka. ? Yaani Kuna watu utakuta amekwama sababu ya compliance tu,Sasa tunafanya kazi on % basis
Mkuu em nipe uzoefu kwenye hii biasharaMimi nipo na duka kubwa la vinywaji vikali vya jumla jumla leta mzigo.