Bobo Balde Dian
Member
- Sep 17, 2016
- 47
- 69
Hello habari kama Post inavyojieleza n hapo juu kwa wale woote watakaopenda kujiunga na mchezo huu wa kunyanyua vitu vizito Tanzania Tuawsliane hapa maelezo zaidi nipm: ( mchezo huu sio bodybuilding ila hata kama ni bodybuilders unataka kujiunga na kujifunza unakaribishwa piaView attachment 488439
haya mambo ya PM siyo yenyewe,mwaga kila kitu hapa tufanye maamuziHello habari kama Post inavyojieleza n hapo juu kwa wale woote watakaopenda kujiunga na mchezo huu wa kunyanyua vitu vizito Tanzania Tuawsliane hapa maelezo zaidi nipm: ( mchezo huu sio bodybuilding ila hata kama ni bodybuilders unataka kujiunga na kujifunza unakaribishwa piaView attachment 488439
Ningekushauri ungeanza kwanza na hawa Watu wawili Herry Kisanduku Shayo na mwenzake Daniel Masambusi kwani watakusaidia kukutangaza na kukuletea Wateja wengine wengi tu Mkuu.[/QUOTE
Asante
Hii Kitu ni siriasi kaka kwa ajili ya Taifa na sijui unahitaji kimwagwe nini hapo.haya mambo ya PM siyo yenyewe,mwaga kila kitu hapa tufanye maamuzi