Fursa ya biashara India

mmasai halisi

Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
55
Reaction score
12
Wakuu habari za asubuhi! Mimi ni mgeni jukwaa hili japokuwa nimekuwa nikiingia kama mgeni (guest) Kwa muda sasa, ninaomba Kwa mwenye uelewa na fursa za biashara kati ya India na Tanzania Kwa sisi wenye mitaji midogo midogo. Ahsanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…