Habar za leo wakuu!
Napend kuchukua nafac hii kuwaarifu wajasiriamali wenzangu waishio Dsm kwmba kuna fremu maeneo ya cnza darajani karibu tu na njia kuu ya mabasi.kwa ufupi frem hyo nilikuw nimeichukua mm nikaweka maji ya jumla na rejareja na soft drinks nyngne ambazo hazikuw za jumla.mblele ya fremu kuna nafac ambapo niliweka chips.kwa weny uzoef na hii business tutakubalian kuw bila kufany close monitoring inakula kwako.wakat cna kazi niliwez kufuatilia kw karibu sn nakushinda hpo hpo ila kwa ss Mungu kaniona nimepat kazi inaniban sn mpk cwez ht kupita na hku nafany degree ya pili tna so inakuw ngumu sn kufuatilia.kwa mwnye nia aniPM tuzungumze vzr bdo kodi miez2 kabla madalal hawajaingia kati.
Nawasilisha nakutanguliza shukran zngu za dhati.
Napend kuchukua nafac hii kuwaarifu wajasiriamali wenzangu waishio Dsm kwmba kuna fremu maeneo ya cnza darajani karibu tu na njia kuu ya mabasi.kwa ufupi frem hyo nilikuw nimeichukua mm nikaweka maji ya jumla na rejareja na soft drinks nyngne ambazo hazikuw za jumla.mblele ya fremu kuna nafac ambapo niliweka chips.kwa weny uzoef na hii business tutakubalian kuw bila kufany close monitoring inakula kwako.wakat cna kazi niliwez kufuatilia kw karibu sn nakushinda hpo hpo ila kwa ss Mungu kaniona nimepat kazi inaniban sn mpk cwez ht kupita na hku nafany degree ya pili tna so inakuw ngumu sn kufuatilia.kwa mwnye nia aniPM tuzungumze vzr bdo kodi miez2 kabla madalal hawajaingia kati.
Nawasilisha nakutanguliza shukran zngu za dhati.