Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

Vyote ivyo
Duh fursa hii jamani huku nilipo viazi vitamu vingi sana gunia halizidi elfu 15, ila sasa sisi wengine niwageni kwenye biashara zakutoka njee, kwamfano me Sina kitambulisho paspot wala kitambulisho chataifa naanzia wapi hapo mkuu ili niweze kufanikisha kwaharaka
 
 
Sawa mana nimemtuma TANGAZO umu kutoa namba zang mpya yote nilikuwa namlenga yy Mana sikuwa na means ya kumpatia,!
Anakupigia kwa whatsap
Amekutumia msg pia anasma

Ova
 
Sawa mana nimemtuma TANGAZO umu kutoa namba zang mpya yote nilikuwa namlenga yy Mana sikuwa na means ya kumpatia,!
Amekupigia whatsap call anasema
Amekutumia na txt

Ova
 
 
Na gharama za kusafirisha kawaida zikoje mkuu
 
nimeku pm mkuu..
 
Mkuu natumai unaendelea vema kama umejikita ki biàshara huko tupe mrejesho tuchangamkie fursa
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…