Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

Bado unafanya business mkuu??
 
Duh poleni sana
Haya maisha yanatufundisha kutomuamini mtu yoyote linapokuja swala la fedha
 
Vitu vingi vipo mbeya Tena unazoa tu bei za kutupa
 
Mkuu asante kwa kushare fursa nzuri kama hizi ubarikiwe sana. Huu moyo mzuri sana, nadhani na mimi kwako leo navuna nilichowahi kupanda humu JF. Niliwah kushare sana fursa humu ndani Jf miaka ya 2013 bahat mbaya tu nilikaa nje ya tanzania muda mrefu nikajikuta sikumbuki password ya account yangu. Na laini nilipoteza so nimeshindwa kurecover kabisa account yangu mpaka nikafungua mpya.

Mkuu
Naomba nisikuchoshe kukuuliza maswali mengi yahusiyo fursa, badala yake nisaidie kujibu haya machache niweze kuchukua hatua ya kuja mwenyewe kufanya research.

1.Kwanza je kuna meli ya abiria kuja comoro? Kma ipo napandia bandari gani?
2.Pili visa kuja uko inacost bei gan?
3.Je kuna usafiri wa ndege? unaweza kufaham nauli ni kiasi gani na ni kampuni gani ?
4.Katika kuja kufanya reasearch nataka kulala hotel isiyozidi shs 20,000, je zipo za bei nafuu?
5.Mimi naongea lugha 3, kiswahili, english, na kireno. Comoro wanatumia lugha gan? kama si english kuna huduma za watafisiri?
6.Je unaweza kufahama ubalozi wa comoro kwa tz uko maeneo gan?
7. Comoro ni nchi kama tanzania na ina raisi, naomba kujuwa ni mkoa gani au provence zipi zifaa kwa biashara. maana nisipoelewa hilo naweza jikuta naenda kufanya reaserch simiyu badala ya daresalaam

Natanguliza shukran.
 
Vitu venye uhitaji Comoros
Nyama fresh meat
Milk
Rice
Na nazani ni fursa nzuri kwetu watanzania kwenda huko njia rahisi ya kusafirishia ni kupitia mtwara na Kuna meli kule ya mizigo kabisa ilikuwa ishamalizika kutengenezewa sijajua mama safari zimeanza
 
Mkuu naomba kujua now niamze na mtaji kiasi gani
Na nipeleke Nini Cha haraka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…