unachotakiwa ni ww kutenga muda wa kwenda kutazama fursa ..utatumia usafir wa ndege ukiwa na Visa yakoHuyu itakuwa amefka huko. Sema kama vipi atoe details za kutosha jinsi ya kufika huko na kufurahia maisha ya kibiashara ya huko
bas iliki Mbichi ni deal sana 1 kg inauza kwa 15000kmf ..ambayo ni sawa na Euro 30Mbichi inapatikana changamoto
Iliki mbichi ni ubebaji garama ya usafiri
Maana mimi huku awali nachukua iriki mbichi nakausha
Ni pm # yako?
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh .....mimi nakusanya sana iriki milima ya usambara ila nauzia mombasa na ugandabas iriki Mbichi ni deal sana 1 kg inauza kwa 15000kmf ..ambayo ni sawa na Euro 30
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa na Elfu 80 TZSbas iriki Mbichi ni deal sana 1 kg inauza kwa 15000kmf ..ambayo ni sawa na Euro 30
Sent using Jamii Forums mobile app
pesa yao ipo juu ndugu kmf 1=Tsh 5 wakat huo huo kmf 500 =euro 1 ..wakat tz hapa Euro 1=2,600
Sawa mkuu, Lakini unaonaje ukiweka mambo sawa hapa au tuyajenge PM maana hiyo nauli ya kwenda na kurudi huko ukichanganya na survey mbona nao ni mtaji tosha, sasa vipi ukienda bureunachotakiwa ni ww kutenga muda wa kwenda kutazama fursa ..utatumia usafir wa ndege ukiwa na Visa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa thread nzuri mkuuunachotakiwa ni ww kutenga muda wa kwenda kutazama fursa ..utatumia usafir wa ndege ukiwa na Visa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar pia ni 99% islam lakini kitimoto inauzika kama kawa.
Itaoza na utasomewa fatwaaHuko vipi nikipeleka kitimoto?
Mwenye kujua zaidi jamani fursa hizi tujiongozeni watanzaniamm ni mfanyabiashara tz-comoro ..nilianza mwaka Jana lakn mafaniko ni makubwa Kwan kuna fursa nying sana sababu visiwa vya comoro 96% wanategemea vitu pamoja na chakula kutoka nje..ivyo hupelekea kuwa na demand kubwa ya mahitaj hasa vyakula lakn changamoto hasa inayopelekea biashara ya comoro kusua sua ni usafirishaji lakn fursa ni nying sana pia changamoto nyingne ni mmoja hasa kwa watanzania hamna umoja kabisa wa kibiashara Kwan hata kwenye upende wa usafirishaji wacomoro ndio wanakodi meli tena hapa Tanzania na kijipatia pesa nzur sana wakat tunauwezo wa kujikusanya wafanya biashara na kukodi chombo tutafanya supply kwa wakati ...sababu kuna kipind comoro mzima haina kitunguu ama vinywaj kama juice sababu tu hamna meli za kwenda...lakn fursa ni nying sana
Sent using Jamii Forums mobile app
aliekwambia zanzibar 99% waislam nan!? iyo ilikuwa zaman sana na kipindi iko hakukiwa inaruhusiwa kitimoto lakn comoro ni Muslim country wanaish kwa sheria za kiislamuZanzibar pia ni 99% islam lakini kitimoto inauzika kama kawa.
sio kuoza tu na yy mwenyewe watamtosa kwenye majiItaoza na utasomewa fatwaa
yes na hapo ndipo panapotakiwa kama wafanyabiashara na watanzania kuangalia namna ya kutatua changamoto za usafri na kutufanya kuwa big supplier ..couse mtu mmoja huwez kukod meli .ukiwa na meli yako unauwezo wa kusuppy chakula comoro mara 2 kwa mwez lakn sasa ivi inaweza fika hata miez 2 hamna meli .mm mzigo Wang upo bandalin tang tar 5 mwez 2 mpaka Leo hamana meli ..ndo ilo sasa inapakia ni changamoto ..lakn ikatokea wafanyabjashar tunaamua kwa umoja wetu tunakodi meli ndan ya mwaka 1 tutawazid China. Dubai70% ya huduma za chakula kinatoka Tanzania ni fursa adhimu kwetu kwani ni zaidi ya $200m ya chakula wananunua toka Kwetu
Kila kitu kuanzia mchele, viazi, unga, matunda na hata mbogamboga wanategemea Tz
Ila hata balozi wao anasema tatizo ni usafiri wa majini
Lakini opportunities zipo sana na wachuuzi na wapelekaji ni wauzaji wadogo sana
Sisi ndio tunaongoza kwa kuwauzia na China ya pili
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Aisee hiyo ni changamoto haswa, mnajitahidi lakini tatizo ndio hilo la meliyes na hapo ndipo panapotakiwa kama wafanyabiashara na watanzania kuangalia namna ya kutatua changamoto za usafri na kutufanya kuwa big supplier ..couse mtu mmoja huwez kukod meli .ukiwa na meli yako unauwezo wa kusuppy chakula comoro mara 2 kwa mwez lakn sasa ivi inaweza fika hata miez 2 hamna meli .mm mzigo Wang upo bandalin tang tar 5 mwez 2 mpaka Leo hamana meli ..ndo ilo sasa inapakia ni changamoto ..lakn ikatokea wafanyabjashar tunaamua kwa umoja wetu tunakodi meli ndan ya mwaka 1 tutawazid China. Dubai
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unaulizia meli mpaka comoro ..gharama za kukodi au gharama za kupakia mzigo?Aisee hiyo ni changamoto haswa, mnajitahidi lakini tatizo ndio hilo la meli
Serikali inaweza kushawishi wawekezaji lakini kuna sehemu tunakosea kuhusu maendeleo
Sehemu zenye faida sio kwamba hawazioni hapana ni akili nzito tu
Hivi meli mpaka Comoros ni kiasi gani
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
yes na hapo ndipo panapotakiwa kama wafanyabiashara na watanzania kuangalia namna ya kutatua changamoto za usafri na kutufanya kuwa big supplier ..couse mtu mmoja huwez kukod meli .ukiwa na meli yako unauwezo wa kusuppy chakula comoro mara 2 kwa mwez lakn sasa ivi inaweza fika hata miez 2 hamna meli .mm mzigo Wang upo bandalin tang tar 5 mwez 2 mpaka Leo hamana meli ..ndo ilo sasa inapakia ni changamoto ..lakn ikatokea wafanyabjashar tunaamua kwa umoja wetu tunakodi meli ndan ya mwaka 1 tutawazid China. Dubai
Sent using Jamii Forums mobile app