topper Member Joined Oct 6, 2017 Posts 10 Reaction score 2 Oct 6, 2017 #1 Wapendwa wadau, Niko Sengerema ni mwezi sasa, nahitaji kujua fursa nyeti zitakazoweza kuniingizia kipato iwe ni ya gari, kilimo na hata ujasiriamali. Naomba mawazo yenu wana JamiiForums.
Wapendwa wadau, Niko Sengerema ni mwezi sasa, nahitaji kujua fursa nyeti zitakazoweza kuniingizia kipato iwe ni ya gari, kilimo na hata ujasiriamali. Naomba mawazo yenu wana JamiiForums.
SIPRITE JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 499 Reaction score 65 Oct 6, 2017 #2 Angalia watu wengi hapo wanatatizo gani/wanataka nini nini mkuu
topper Member Joined Oct 6, 2017 Posts 10 Reaction score 2 Oct 7, 2017 Thread starter #3 SIPRITE said: Angalia watu wengi hapo wanatatizo gani/wanataka nini nini mkuu Click to expand... Thanks brother
SIPRITE said: Angalia watu wengi hapo wanatatizo gani/wanataka nini nini mkuu Click to expand... Thanks brother
Rylee JF-Expert Member Joined Jan 31, 2015 Posts 542 Reaction score 1,015 Oct 7, 2017 #4 Kusanya plastic chakavu...kuna viwanda vitatu navifahamu vipo mwanza wananunua hizo mali
topper Member Joined Oct 6, 2017 Posts 10 Reaction score 2 Oct 8, 2017 Thread starter #5 vio_vio said: Kusanya plastic chakavu...kuna viwanda vitatu navifahamu vipo mwanza wananunua hizo mali Click to expand... Thanks, je ni sehemu gani mwanza naweza kutembelea hivyo viwanda kwa ajili kupata ushauri zaidi?
vio_vio said: Kusanya plastic chakavu...kuna viwanda vitatu navifahamu vipo mwanza wananunua hizo mali Click to expand... Thanks, je ni sehemu gani mwanza naweza kutembelea hivyo viwanda kwa ajili kupata ushauri zaidi?