BrazakakaBura
Member
- Feb 16, 2017
- 88
- 104
Heshima kwenu wakuu,
Ni muda sasa tangu nifahamu biashara hii lakini kwa bahati mbaya hakuna uzi hapa jf unaoelezea biashara hii, naamini kuwa connected ni kitu bora zaidi kwenye biashara yoyote.
Kuna wachina hapa mjini(Dar), japo kwa sasa hata mikoani wamefika, wananunua vitu vingi kutoka kwa wanyama specifically niongelee ng'ombe, ambapo wananunua uume zilizokaushwa vzuri, bei hubadilika badilika kwa sasa ni kati ya 12000/= na 16000/= kwa kilo moja, lakini pia wananunua pembe, ngozi, nyongo, kwato, vitabu(kuna vitu ndani ya ng'ombe vinaitwa vitabu), kuna wakati kabla ya corona bei ilipanda hadi kufikia zaidi ya 20000/= kwa kilo moja, kitu ambacho kinatarajiwa badae kidg utafikia huko tena,
hizo uume lazima ziwe zimekaushwa zikiwa zimenyooka vzuri inatakiwa kutoa layers flani ina mafuta mafuta then unaanika zikiwa zimenyooka.
Kuna wengine ni wazoefu mikoani unaweza kununua zilizoandaliwa vzuri ziko tayari kabisa kwa garama nafuu kutegemeana na sehemu, mfano unaweza kupata kwa 7000/= kwa kilo then ukauza kwa 14000/=
kama wapo wazoefu tubadilishane mawazo, na kuwasaidia wageni, kwa asiyejua kabisa ulizia sehem yoyote ya machinjioni.
Zaidi, soma:
1). Kwa hapa Tanzania, Wachina hununua gramu1 ya Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000
Ni muda sasa tangu nifahamu biashara hii lakini kwa bahati mbaya hakuna uzi hapa jf unaoelezea biashara hii, naamini kuwa connected ni kitu bora zaidi kwenye biashara yoyote.
Kuna wachina hapa mjini(Dar), japo kwa sasa hata mikoani wamefika, wananunua vitu vingi kutoka kwa wanyama specifically niongelee ng'ombe, ambapo wananunua uume zilizokaushwa vzuri, bei hubadilika badilika kwa sasa ni kati ya 12000/= na 16000/= kwa kilo moja, lakini pia wananunua pembe, ngozi, nyongo, kwato, vitabu(kuna vitu ndani ya ng'ombe vinaitwa vitabu), kuna wakati kabla ya corona bei ilipanda hadi kufikia zaidi ya 20000/= kwa kilo moja, kitu ambacho kinatarajiwa badae kidg utafikia huko tena,
hizo uume lazima ziwe zimekaushwa zikiwa zimenyooka vzuri inatakiwa kutoa layers flani ina mafuta mafuta then unaanika zikiwa zimenyooka.
Kuna wengine ni wazoefu mikoani unaweza kununua zilizoandaliwa vzuri ziko tayari kabisa kwa garama nafuu kutegemeana na sehemu, mfano unaweza kupata kwa 7000/= kwa kilo then ukauza kwa 14000/=
kama wapo wazoefu tubadilishane mawazo, na kuwasaidia wageni, kwa asiyejua kabisa ulizia sehem yoyote ya machinjioni.
Zaidi, soma:
1). Kwa hapa Tanzania, Wachina hununua gramu1 ya Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000