Fursa ya biashara

Inkoskaz

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
6,361
Reaction score
2,378
Kwa wale wenye Connections ama kuhitaji kuwekeza eneo jipya linalokuwa kiuchumi wa Gesi na Cement ya Dangote Mtwara tunawatangazia kuuza Eneo zuri la Kibiashara

Ukubwa-22,700 Sq Mtrs

Location-Mangamba area,Barabara ya kuelekea Msimbati na Msumbiji

Distance-Around 5km kutoka Mtwara mjini upande wa kushoto along the Main road

Resources available

-Umeme wa Grid unapatikana
-Maji ya Bomba yanapatikana

Interested parties may obtain more details by contacting numbers below

+255 758 000000
+255 716 333333

Karibuni!
 
Nitakutafuta mkuu..nilikuwa na wawekezaji waliokuwa na nia ya kuwekeza kwenye kiwanda cha mbolea Mtwara..nitacheki nao tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…