Fursa ya kibiashara kwa zao la muhogo kati ya Tanzania na China

Fursa ya kibiashara kwa zao la muhogo kati ya Tanzania na China

Ndakie

Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
10
Reaction score
4
Habari.
Mwaka jana tuliingia mkataba wa kibiashara na nchi ya china, kuuza muhogo katika soko la china. Naomba mwenye kujua zaidi ni namna gani tunalifikia soko hilo au je kuna wakala hapa Tanzania maana hii ni fursa nzuri kwetu vijana na taifa kwa ujumla.
 
Na Mimi naweka mkazo ,,kwenye kujua namna ya kulifikia solo hilo
 
Na Mimi naweka mkazo ,,kwenye kujua namna ya kulifikia solo hilo
Ndg yangu napenda kukujuza kuwa nimefanya kila namna mpaka kwenda TIC, nimepewa mawasiliano ya awa jamaa ambao ni country representer wa kampuni ya mihogo ya canton investment. Nimeongea nao canton wanasema bado hawajaanza kununua muhogo na wakianza inabidi tuchakate mwenyewe kwanza then ndio tuwauzie na wameaidi watatoa elimu ya namna ya kuchakata hapo baadaye.
 
Habari.
Mwaka jana tuliingia mkataba wa kibiashara na nchi ya china, kuuza muhogo katika soko la china. Naomba mwenye kujua zaidi ni namna gani tunalifikia soko hilo au je kuna wakala hapa Tanzania maana hii ni fursa nzuri kwetu vijana na taifa kwa ujumla.
Hili ambao wanapata matunda ya kilimo hiki ni wa2 wa Tanga maana mh Godwin aliweza kuratibu na kuhamasisha wakulima ,lakini mikoa mingine kama ukanda huu wa Pwani viongoz hawaon fursa hii kwa faida ya wa2 wao na ukifanya peke yako huwez hudumia soko la China lazima muwe wakulma wengi
 
Unatafuta partner kutoka nje ya nchi? au unataka kuuza huduma/bidhaa zako ndani na nje ya nchi?
Basi, kutana na viongozi wa biashara wanaonadi biashara zao kupitia mtandao wa lenkeer.com.
Jiunge Bure sasa hii na upate nafasi ya kushida account VIP bure yenye thamani ya $200!
JIUNGE SASA NA USHINDE. https://www.lenkeer.com/register
 
Back
Top Bottom