Fursa ya Kilimo cha Chikichi kibiashara

Fursa ya Kilimo cha Chikichi kibiashara

BARA BARA YA 5

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2009
Posts
1,174
Reaction score
835
Mimi ni mtumishi wa Umma kwa zaidi ya miaka 21 na sasa ninakaribia 50.Nafikiria nipande michikichi ya kisasa eka 10 ambayo huanza kuzaa baada ya miaka 3,hivyo nikiwa na miaka 53 takuwa na uwezo wa kupata Lita Hadi 20,000 X TZS 4,000 hivyo kupata hadi 80m kwa mwaka.

Kazi yangu kwa mwaka mshahara wangu ni 36m na arubu za ajira kibao.

Kumbuka michikichi haina gharama za kuhudumia zaidi ya palizi.Pia tapata na muda wa kufanya kazi zingine kama ufugaji wa nyuki,mbuzi na ng'ombe WA kienyeji.
 
Mimi ni mtumishi wa Umma kwa zaidi ya miaka 21 na sasa ninakaribia 50.Nafikiria nipande michikichi ya kisasa eka 10 ambayo huanza kuzaa baada ya miaka 3,hivyo nikiwa na miaka 53 takuwa na uwezo wa kupata Lita Hadi 20,000 X TZS 4,000 hivyo kupata hadi 80m kwa mwaka.
Kazi yangu kwa mwaka mshahara wangu ni 36m na arubu za ajira kibao.
Kumbuka michikichi haina gharama za kuhudumia zaidi ya palizi.Pia tapata na muda wa kufanya kazi zingine kama ufugaji wa nyuki,mbuzi na ng'ombe WA kienyeji.
Wazo zuri lakn je shamba unalo?
 
Mimi ni mtumishi wa Umma kwa zaidi ya miaka 21 na sasa ninakaribia 50.Nafikiria nipande michikichi ya kisasa eka 10 ambayo huanza kuzaa baada ya miaka 3,hivyo nikiwa na miaka 53 takuwa na uwezo wa kupata Lita Hadi 20,000 X TZS 4,000 hivyo kupata hadi 80m kwa mwaka.
Kazi yangu kwa mwaka mshahara wangu ni 36m na arubu za ajira kibao.
Kumbuka michikichi haina gharama za kuhudumia zaidi ya palizi.Pia tapata na muda wa kufanya kazi zingine kama ufugaji wa nyuki,mbuzi na ng'ombe WA kienyeji.
Unataka hichi kilimo mkoa gani
 
Wazo zuri lakn je shamba unalo?
Miti ya kudumu hesabu miaka 5 vinginevyo uwe na commitment ya hali ya juu
Suala ka kusema Chikichi haina gharama sio kweli. Haina tofauti na mazao mengine.
Faida ni mti wataukuta hadi wajukuu.
Hasara watoto wako wanaweza telekeza shamba baada ya wewe kuaga diniani.
Hii nineshuhudia kwa bibi yangu na nduguze
Walitelekeza shamba wakahamia mijini.
Kama utakuwa unaandaa mwenyewe mawese basi UNA SHUGHILI NZITO. mawese kuyapata ni process sio kama alizeti.
Kama utakuwa mbunifu sawa.
Mi nikushauti panda mazao matatu hasa kama upo kigoma.
Kahawa
Ndiz
Matunda.
Na hayo mawese.
Ukipanda hayo mazao na mifugo yako usisahau kilimo cha MAHARAGE. Maharage kwa sasa yanapanda bei sana kila mwaka.
Kwenye hilo shamba usiache maharage.
Kigoma yanastawi sana.
 
Chikichi kongo ukila utazoea dezo. Nimeukumbuka huu wimbo!

Ni wazo zuri.

Hakikisha una mtaalam mwelekezi ambaye naye anafanya kilimo cha chikichi. Mbali na hapo utapata hasara!
 
Mimi ni mtumishi wa Umma kwa zaidi ya miaka 21 na sasa ninakaribia 50.Nafikiria nipande michikichi ya kisasa eka 10 ambayo huanza kuzaa baada ya miaka 3,hivyo nikiwa na miaka 53 takuwa na uwezo wa kupata Lita Hadi 20,000 X TZS 4,000 hivyo kupata hadi 80m kwa mwaka.
Kazi yangu kwa mwaka mshahara wangu ni 36m na arubu za ajira kibao.
Kumbuka michikichi haina gharama za kuhudumia zaidi ya palizi.Pia tapata na muda wa kufanya kazi zingine kama ufugaji wa nyuki,mbuzi na ng'ombe WA kienyeji.
Mkuu barabara ya 5, Tanga haturudi tena, umeamua kuselea huko unyamwezini?

Anyways, jokes aside....palm trees farming ni lifetime investment, not just fursa....fursa ni hizi opportunity za hapa na pale...with palm trees, your life after work is largely guaranteed.

Ushauri wangu....
1. Epuka short termism ukitaka kuwekeza kwenye mazao ya miti kama chikichi...mfano hiyo michikichi ya kisasa umeiona wapi watu wanailima na wanavuna baada ya miaka hiyo mi 3?...angalia usigeuzwe Guinea pig wa wataalamu feki kufanyia majaribio shambani kwako...panda mbegu ambayo hakika itakupa mazao. Michikichi ya kienyeji will take about 7 years mpaka kuanza kukupa mazao but they're proven! Think and make a realistic decision, the get rich quick schemes don't work in real life!

2. Hakikisha una access ya wataalamu karibu na pia around you kuwe na farmers wa zao hilo...kuanzia kaliua kule chikichi zipo, I believe wataalamu wapo na wakulima wapo. Wataalamu watakusaidia with Agronomy skills na wakulima wenzio watakusaidia kukupa nguvu when the going gets tough. With lifetime investments changamoto ni nyingi, unahitaji watu wa kukutia moyo na pia kujifunza kutoka kwao kwa vitendo. I have come to learn kwamba hata kwenye advanced economies farmers have got unions which plays a major role kwenye mambo hayo na pia kwenye lobbying issues.

3. Usiwe dependent on one crop, kuwa na varieties: 2 to 3 crops are sufficient to supplement each other. Crops are living organisms affected by different weather patterns and eventually impacting their productivity. Mfano mwaka huu because of too much joto and rains due to elnino conditions, miembe mingi hasa Coastal regions have not flowered, meaning msimu huu utakuwa na maembe kidogo sana na hivyo kipato kidogo kwa wakulima wa embe....those who are dependent on one crop are bound to suffer lakini wenye diversity wanaweza kuendelea kupata hela kwa mazao mengine.

4. Endelea kujifunza na hasa kujifunza kwa vitendo kupitia wakulima halisi...social media are good BUT wakulima halisi waliopo field are the BEST source ya maarifa. Kilimo na sayansi vinaenda pamoja na ni vitu endelevu. Sayansi ni utendaji siyo makaratasi!
 
Zao Lolote Wanasiasa Wakiingia Tu Ujue Kitoboa Inakuwa Kazi Sana
 
Tuwe Makini Na Hawa TARI Kuna Jamaa Huwa Namuuliza Huko Kigoma Kituo Chao Kinafanya Kazi Anasema Wapo Wapo Tu Ila Sound Nyingi
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Mkuu barabara ya 5, Tanga haturudi tena, umeamua kuselea huko unyamwezini?

Anyways, jokes aside....palm trees farming ni lifetime investment, not just fursa....fursa ni hizi opportunity za hapa na pale...with palm trees, your life after work is largely guaranteed.

Ushauri wangu....
1. Epuka short termism ukitaka kuwekeza kwenye mazao ya miti kama chikichi...mfano hiyo michikichi ya kisasa umeiona wapi watu wanailima na wanavuna baada ya miaka hiyo mi 3?...angalia usigeuzwe Guinea pig wa wataalamu feki kufanyia majaribio shambani kwako...panda mbegu ambayo hakika itakupa mazao. Michikichi ya kienyeji will take about 7 years mpaka kuanza kukupa mazao but they're proven! Think and make a realistic decision, the get rich quick schemes don't work in real life!

2. Hakikisha una access ya wataalamu karibu na pia around you kuwe na farmers wa zao hilo...kuanzia kaliua kule chikichi zipo, I believe wataalamu wapo na wakulima wapo. Wataalamu watakusaidia with Agronomy skills na wakulima wenzio watakusaidia kukupa nguvu when the going gets tough. With lifetime investments changamoto ni nyingi, unahitaji watu wa kukutia moyo na pia kujifunza kutoka kwao kwa vitendo. I have come to learn kwamba hata kwenye advanced economies farmers have got unions which plays a major role kwenye mambo hayo na pia kwenye lobbying issues.

3. Usiwe dependent on one crop, kuwa na varieties: 2 to 3 crops are sufficient to supplement each other. Crops are living organisms affected by different weather patterns and eventually impacting their productivity. Mfano mwaka huu because of too much joto and rains due to elnino conditions, miembe mingi hasa Coastal regions have not flowered, meaning msimu huu utakuwa na maembe kidogo sana na hivyo kipato kidogo kwa wakulima wa embe....those who are dependent on one crop are bound to suffer lakini wenye diversity wanaweza kuendelea kupata hela kwa mazao mengine.

4. Endelea kujifunza na hasa kujifunza kwa vitendo kupitia wakulima halisi...social media are good BUT wakulima halisi waliopo field are the BEST source ya maarifa. Kilimo na sayansi vinaenda pamoja na ni vitu endelevu. Sayansi ni utendaji siyo makaratasi!
Asante AL Zagawi....umenipa angalizo zuri sana na nalifanyia kazi, hasa kwenye Namba 3..dependent on one crop
 
Back
Top Bottom