Fursa ya kipato

p_prezdaa

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2011
Posts
435
Reaction score
60
Namshukuru Mungu kwa kunipa jicho la kuiona fursa ya biashara ya mtandao ambayo ni biashara inayofanywa na watu wa karne ya 21 na inakubalika hata kwa watu mashuhuri mfano Bilgates alisema "If I will be given a chance to begin I would choose network marketing".

Je vipi kuhusu wewe umeridhka na kipato ulichonacho karibu tushrikiane katika fursa hii kwa pamoja tunaweza: Call/Inbox/Text +255 715 336 718
 
Ingekuwa vema kama ungetoa somo hapa jukwaani ili wote wafaidike
 
mbona uzi unaning'inia mkuu.hebu funguka japo zaidi watu wajue nini hicho zaidi!!!
 
Hyo ni rahc kama utafka kwenye semna ambayo itakufungua zaid ya somo ntakalotoa hapa
 
Karbu Muggyen ujifunze ujasil yamali
 
Wasiliana na hyo # hapo TO2004 upate hyo elimu
 
Wale wale

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…