Ukifuatilia kwa karibu utaundua viongoi wengi hasa wa serikali wapo bize sana na mambo ya kitaifa,kikanda& kimataifa hivyo si rahisi kukumbuka mambo ya SALOON, vijana tuchangamkie fursa hii tutengeneze pesa, binafsi ningependa kuwanyoa wafuatao;
1. Mhe. Dr. Shein
2. Mhe. Bilali
3. Mhe.Tibaijuko
4. Mhe. Kassimu Majaliwa
5. Mhe. Halima Mdee
6. Mhe. Mwandosya
Asanteni