Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
- Thread starter
-
- #241
Tunapenda kuwatangazia kuwa awamu ya mradi wa kuwekeza 500,000 uliokuwa uanze tarehe 15-04-2017 utaanza kama ulivyotarajiwa.
Ambae atapenda kujiunga na awamu (phase) hii basi awe ametuma pesa kabla ya tarehe 15-04-2017 baada ya hapo hatutapokea pesa kwa uwekezaji wa 500,000 mpaka tutakapotangaza tena siku za usoni.
Asanteni
Tunapenda kuwatangazia kuwa awamu ya mradi wa kuwekeza 500,000 uliokuwa uanze tarehe 15-04-2017 utaanza kama ulivyotarajiwa.
Ambae atapenda kujiunga na awamu (phase) hii basi awe ametuma pesa kabla ya tarehe 15-04-2017 baada ya hapo hatutapokea pesa kwa uwekezaji wa 500,000 mpaka tutakapotangaza tena siku za usoni.
Asanteni
Zimebaki siku mbili.
Tunapenda kuwatangazia kuwa awamu ya mradi wa kuwekeza 500,000 uliokuwa uanze tarehe 15-04-2017 utaanza kama ulivyotarajiwa.
Ambae atapenda kujiunga na awamu (phase) hii basi awe ametuma pesa kabla ya tarehe 15-04-2017 baada ya hapo hatutapokea pesa kwa uwekezaji wa 500,000 mpaka tutakapotangaza tena siku za usoni.
Asanteni
Zimebaki siku mbili.
Imebaki siku moja - kesho ndiyo tutapokea malipo ya mwisho ya uwekezaji, mradi wetu utaanza on time tarehe 15-04-2017
Leo ni siku yetu ya mwisho kupokea pesa kwa uwekezaji wa mtaji wa 500,000 wa awamu hii.
Mradi utaanza kesho kama tulivyoutarajia.
Tunapenda kuwafahamisha kuwa jana tummemaliza kukusanya wawekezaji wa mradi wa mtaji wa 500,000 kwa sasa mpaka hapo tutapotangaza tena.
Tuna furaha kuwajulisha kuwa muitikio ulikuwa mzuri sana.
Tunachukuwa fursa hii kwanza kabisa Kumshukuru Mwenyezi Mungu kutuwezesha kufanikisha zoezi hili kwa ufanisi mkubwa. Pia shukran zetu na asante nyingi sana ziwaendee wale wote ambao wametuamini na kutukabidhi mitaji yao tuwekeze.
Asante.
Abdul and Zainab
Sure...ingekuwa poaMkuu mje na plan c ambayo mtu wa 100000 nae ahusike wengine hatuna hiyo 500000
Mkuu mje na plan c ambayo mtu wa 100000 nae ahusike wengine hatuna hiyo 500000
Sure...ingekuwa poa
Kama unaweza mpa mtu 500000 akuzalishie 20000 kwa wiki naamini kabisa mtu wa namna hiyo anahitaji Maombi ya UKOMBOZI.
Ahsante sana Abdul na Zainab, tumekaa mkao wa kula, twangoja muwivishe.
We kibibi, umeshaanza kula mbona hutangazi?
Hujasikia Mkuranga kulivyoharibika? Unataka nivamiwe?
Punguani wahed.
Thubutumnakubali tuingie mkataba wa kisheria ?
ha hahahaThubutu