Fursa ya Madini kwa mtu anayetaka kuwekeza huko tushirikiane

Wizi unaanzia kwenye kununua makinikia. Unaenda pima unaona ppm iko juu unakubali bei. Ukianza mchakato washenzi wanaiba carbon wanaweka madawa hovyo hovyo mwisho wa siku hata kg1 hupati na wakati umenunua madongo kwa mamilioni
Watu wa plant wezi jaman..Mungu anawaona..Ndg yangu katoka na gram 200 tu..mxiew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…