Fursa ya ujasiliamari wa kujitegemea

Fursa ya ujasiliamari wa kujitegemea

Joined
Aug 17, 2017
Posts
40
Reaction score
15
*TAFSIRI YA JEDWARI*

*1⃣Daraja LA kwanza utakua na watu 6 chini yako watakao kuchangia 10,000 kila mmoja na utapata jumla sh.60,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 20,000 utapanda daraja la pili kwa kumchangia upliner wako utakaye muona kwenye system utabaki na 40,000 faida yako*

*2⃣Daraja la pili utakua na watu 36 chini yako watakao kuchangia 20,000 kila mmoja na utapata jumla ya sh.720,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 30,000 utapanda daraja la tatu kwa kumchangia upliner utakaye muona kwenye system, utabaki na 690,000 faida yako*

*3⃣Daraja la 3 utakua na watu 216 chini yako,watakao kuchangia 30,000 kila mmoja na utapata jumla ya sh.6,480,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 50,000 utapanda daraja la NNE. Kwa nn 50,000 ,hapa utatoa kwanza 10,000 utaichangia kampuni na 40,000 utamchangia upliner wako utakaye muona kwenye system na utabakia na 6,430,000 faida yako*

*4⃣Daraja la 4 utakua na watu 1296 chini yako watakao kuchangia 40,000 kila mmoja na utapata sh. 51,840,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 50,000 utapanda daraja la tano kwa kumchangia upliner wako utakaye mwoona kwenye system, utabaki na 51,790,000 faida yako*

*5⃣Daraja la 5 utakua na watu 7776 chini yako watakao kuchangia 50,000 kila mmoja na utapata jumla ya sh. 388,800,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 60,000 utapanda daraja la sita kwa kumchangia upliner wako utakaye mwoona kwenye system, utabaki na 388,740,000 faida yako*

*6⃣Daraja la 6 na la mwisho kwenye mzunguko wa mchezo, utakua na watu 46,656 chini yako watakao kuchangia sh.60,000 kila mmoja na utapata jumla ya sh.2,799,360,000 kwenye simu yako*

*Hapa hautatoa pesa yoyote ile kupanda daraja Bali pesa zote ni zako ambazo ni faida kwako*

*Je nakuuliza swali kwa mtililiko huo unaweza kushindwa kufanya kazi hiyo ya kuwashirikisha Rafiki zako ili kila mmoja ajikwamue kiuchumi kwa mtaji wa sh.10,000 tu?*

Kwa maelezo zaidi wasiliani nasi kupitia WhatsApp no 0672549511 au kupitia group letu la mafunzo kabla ya kufanya maamuzi kwa kubofya link hii

ELNET AFRICA TRAINING LTD

_Unaweza amua sasa tufanye kazi kwa pamoja kwa manufaa yetu na vizazi vyetu_

*Karibu Sana Elnet Africa mkombozi wa wanyonge*
 
Kosa la jinai hilo. Hii ni pyramid kama upatu mwingine tu. Mods nashauri muondoe huu uzi wa DECI Mpya.
 
*TAFSIRI YA JEDWARI*

*1⃣Daraja LA kwanza utakua na watu 6 chini yako watakao kuchangia 10,000 kila mmoja na utapata jumla sh.60,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 20,000 utapanda daraja la pili kwa kumchangia upliner wako utakaye muona kwenye system utabaki na 40,000 faida yako*

*2⃣Daraja la pili utakua na watu 36 chini yako watakao kuchangia 20,000 kila mmoja na utapata jumla ya sh.720,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 30,000 utapanda daraja la tatu kwa kumchangia upliner utakaye muona kwenye system, utabaki na 690,000 faida yako*

*3⃣Daraja la 3 utakua na watu 216 chini yako,watakao kuchangia 30,000 kila mmoja na utapata jumla ya sh.6,480,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 50,000 utapanda daraja la NNE. Kwa nn 50,000 ,hapa utatoa kwanza 10,000 utaichangia kampuni na 40,000 utamchangia upliner wako utakaye muona kwenye system na utabakia na 6,430,000 faida yako*

*4⃣Daraja la 4 utakua na watu 1296 chini yako watakao kuchangia 40,000 kila mmoja na utapata sh. 51,840,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 50,000 utapanda daraja la tano kwa kumchangia upliner wako utakaye mwoona kwenye system, utabaki na 51,790,000 faida yako*

*5⃣Daraja la 5 utakua na watu 7776 chini yako watakao kuchangia 50,000 kila mmoja na utapata jumla ya sh. 388,800,000 kwenye simu yako. Kisha utatoa 60,000 utapanda daraja la sita kwa kumchangia upliner wako utakaye mwoona kwenye system, utabaki na 388,740,000 faida yako*

*6⃣Daraja la 6 na la mwisho kwenye mzunguko wa mchezo, utakua na watu 46,656 chini yako watakao kuchangia sh.60,000 kila mmoja na utapata jumla ya sh.2,799,360,000 kwenye simu yako*

*Hapa hautatoa pesa yoyote ile kupanda daraja Bali pesa zote ni zako ambazo ni faida kwako*

*Je nakuuliza swali kwa mtililiko huo unaweza kushindwa kufanya kazi hiyo ya kuwashirikisha Rafiki zako ili kila mmoja ajikwamue kiuchumi kwa mtaji wa sh.10,000 tu?*

Kwa maelezo zaidi wasiliani nasi kupitia WhatsApp no 0672549511 au kupitia group letu la mafunzo kabla ya kufanya maamuzi kwa kubofya link hii

ELNET AFRICA TRAINING LTD

_Unaweza amua sasa tufanye kazi kwa pamoja kwa manufaa yetu na vizazi vyetu_

*Karibu Sana Elnet Africa mkombozi wa wanyonge*
kuna mwenzako anatumikia miaka mitatu jela kwa kuniunganisha na ujinga huu.
sikupata alichoniahidi nikamshtaki kwa utapeli
 
Hizi ndizo ''gilisi'' mzee wa phont phage alikuwa anaongelea. Mzee wa Ukata yeye aliita ''mtaji wa masikini ni nguvu/akili zako mwenyewe''. Akili mukichwa na za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Hii ndo inafanya watanzania wengi waseme
Vyuma vimekaza kumbe havijakaza kumbe vimelegea kabisa sasa mwenzetu kaanzisha Uzi mtu haujafanya uchunguzi umeishasema utapeli, kuwa makini kumwambia mtu tapeli na wakati hauna udhibitisho
 
jamani eeeh nilitegemea ukisoma usipoelewa utaniuliza lakini wengi mnadai utapeli ikiwa wewe umezoea kutapeli watu ni wewe sio wote punguzeni kauli chafu ikiwa hutaki kujiunga unakaa kimya kwani hakuna alielazimishwa hapa duu watanzania ni shida
 
wapo wana JF wameingia wengi tyu kujifunza na wengine kujiunga kabisa we kama huwezi mwenzako anaweza
 
washenzi matapeli mbwa koko hawa ,uliona wapi pesa zinagawiwa bure shenzi kabisa
 
Back
Top Bottom