Ni matumaini yangu moo salama salimini.
Mimi ni Kijana mwenye nguvu na ninayependa kujishughulisha sana.
Natakiwa Nihame jiji moja Maarufu (Mwanza) na kuishi Masasi- Mtwara, kutokana na sababu mbalimbali. Wenye uelewa wa wilaya ya Masasi, naomba kujua Fursa za kazi au biashara zilizopo na mbinu za kufanikiwa kuzipata maana kukaa bila kazi naona ni tabu mnooo. Nawasilisha