Ungeweka angalau contact details zako japo simu no na\au email address, wengine mambo ya ku pm hatujui kabsaaa japo mabiz tunayataka\tunayaweza
Wakuu details zangu hizi hapa
lema.jackson@gmail.com
cell no =267 73553246
kuna wakenya wengi wamejaribu kutaka kujua hili lakini naomba kuweka wazi sipo interested kufanya biashara na wao!
Mkuu una uhaba wa maneno. Mwagika ueleweke.
Tayari za aina zote kwa sh ngapi? Zinakuja kwa njia gani Tz. Mtaji sh ngapi? Utaratibu viza ukoje huko? Unataka watu wa kufanya nini hasa?
Botswana ni nchi nzuri kwa kuwekeza ,inabidi uwe na mtaji mkubwa sana , Kua biashara ndogo ngogo ziko maalumu kwa wazawa .Usitegemee ukafungua duka na nguo wakakupa permit ya kukaa hapo . Wako very strictly hata foreigners walioajiriwa hawarusiwi kufanya biashara yeyote ile kutokana na permit zao. Sio kama Bongo Wachina wanavyouza nguo kariakoo halafu mnawaita investors.
wabongo bana... huyu aliyepost namfananisha na 'khatan' yule muuza michungwa..
sasa kwann usiweke details za kueleweka?
Botswana ni nchi nzuri kwa kuwekeza ,inabidi uwe na mtaji mkubwa sana , Kua biashara ndogo ngogo ziko maalumu kwa wazawa .Usitegemee ukafungua duka na nguo wakakupa permit ya kukaa hapo . Wako very strictly hata foreigners walioajiriwa hawarusiwi kufanya biashara yeyote ile kutokana na permit zao. Sio kama Bongo Wachina wanavyouza nguo kariakoo halafu mnawaita investors.
Kama unataka kufanya biashara na Botswana tafadhali ni PM ili tuweze kuwasiliana
kuna biashara nyingi huko Tanzania za kuleta huku
kama una fedha na ungehitaji kutengeneza fedha nipo tayari tushirikiane
usihofu Botswana ni nchi nzuri kibiashara na kiusalama
Mkuu mwaga ugali tu hapa jamvini tumwage mboga ndo sera zetu huku kwenye uchumi/Ujasiriamali tueleze waziwazi ni aina gani ya biashara na mtaji kiasi gani yasije yakawa mambo ya mchungwa mmoja kubeba machungwa 4000
Botswana ni nchi nzuri kwa kuwekeza ,inabidi uwe na mtaji mkubwa sana , Kua biashara ndogo ngogo ziko maalumu kwa wazawa .Usitegemee ukafungua duka na nguo wakakupa permit ya kukaa hapo . Wako very strictly hata foreigners walioajiriwa hawarusiwi kufanya biashara yeyote ile kutokana na permit zao. Sio kama Bongo Wachina wanavyouza nguo kariakoo halafu mnawaita investors.
Wakuu details zangu hizi hapa
lema.jackson@gmail.com
cell no =267 73553246
kuna wakenya wengi wamejaribu kutaka kujua hili lakini naomba kuweka wazi sipo interested kufanya biashara na wao!
Kama unataka kufanya biashara na Botswana tafadhali ni PM ili tuweze kuwasiliana
kuna biashara nyingi huko Tanzania za kuleta huku
kama una fedha na ungehitaji kutengeneza fedha nipo tayari tushirikiane
usihofu Botswana ni nchi nzuri kibiashara na kiusalama