Mkuu inaonyesha unaharasiwa sana huko machunguyako unataka kuwamalizia wachina wa kariakoo hujaona wazungu warabu wahindi wakenya wazimbabwe kilaina wapo hapa na kilamtu ana rizikiyake nenda gwanzoo ukaone kuna wabongo lukuki huko wanatafta maisha acha ujinga ongeeni biashara.
bongo The land with opportunity kwanza soma MOTO ni FREEDOM AND REUNION wewe umeshakuwa mbotswana tuachie bongo yetu na wachina wetu usilete matusi
Vipi kuhusu ukimwi? nasikia jamaa wanaongoza Africa,ivi kwa mtu mpenda ngono kama mm nita dumu kweli?
Delegate mkuu kwanini huweki info zote muhimu ulizoulizwa na wadau? Binafsi mimi naona kero,huchoki kila mtu kukuuliza maswali hayo hayo. Ungeweka info angalau ambao hawatataka proposal yako wasikujazie inbox yako.
dhambi ya ukabila itakutafuna...yani umeeeona ukabila tu?Aiseee kumbe ni arawa........mbonsafooo Lema?
Tehe tehe.......kumsalimia kikabila sio maana yale nami ni wa kabila hilo potidhambi ya ukabila itakutafuna...yani umeeeona ukabila tu?
Watu mnajua kusakua...umeamua kufukua hii ya 2013Write your reply...Africa ni yetu tanzania ndio yetu nchi haijitangazi bali sisi ndo hutangaza nchi yetu kwa pamoja tuwe wazalendo. hapa hapa bongo tutatoka!!!