Gamariel Member Joined Sep 8, 2009 Posts 82 Reaction score 6 Jan 20, 2014 #1 Wadau naomba kupata experience ya fursa ambazo zipi huko china. Naona na ninasikia watu wengi wakienda china wakifunga mizigi na kuja nayo tz. Tupeane ujuzi mtaji wa kwenda huko ni bei gani, fursa ni zipi, faida nk
Wadau naomba kupata experience ya fursa ambazo zipi huko china. Naona na ninasikia watu wengi wakienda china wakifunga mizigi na kuja nayo tz. Tupeane ujuzi mtaji wa kwenda huko ni bei gani, fursa ni zipi, faida nk
Juma WALEO JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 204 Reaction score 40 Jan 20, 2014 #2 Kwanza ujue kichina! Halafu utaona tu fursa zinajileta..!
Money Stunna JF-Expert Member Joined Aug 9, 2011 Posts 13,053 Reaction score 6,304 Jan 20, 2014 #3 Juma WALEO said: Kwanza ujue kichina! Halafu utaona tu fursa zinajileta..! Click to expand... acha kupotosha. wengi wanaenda ata hawajui kichina. ungengoja wajuzi waje si lazima ukoment
Juma WALEO said: Kwanza ujue kichina! Halafu utaona tu fursa zinajileta..! Click to expand... acha kupotosha. wengi wanaenda ata hawajui kichina. ungengoja wajuzi waje si lazima ukoment