Fursa za biashara zipo, vijana wa Dar es Salaam ni wazembe tu

hapo kwenye alizeti na asali nimekusoma asali kupata kibali sio inshu sana ila mkaa ni kusumbuana na maliasili kupata kibali ni inshu na kama huna kibali kusafirisha mkaa ni kwa kuficha sana pia bado wale jamaa wakikuta na hata gunia 3 na kibali hauna watakuzingua utadhani wamekukuta na meno ya tembo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kweli ununue mkaa kutoka dar upeleke morogoro mtoa mada uko serious kweli?

Utoe asali dar upeleke tabora au singida hiyo faida utaipataje sasa.

Mada uliyoleta ni nzuri ila punguza utani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tobora ndo inapatikana asali kwa wingi.dar ndo kuna mahitaji makubwa ya mkaa sasa yeye kafanya kinyume chake.mleta mada nae ni comedy sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana tatizo la akili naweza liita wenge. Unaandikaje kama unakimbizwa matokeo anaandika kinyume nyume.
 

Asante ndugu dalali


Sent using IPhone X
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…