kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kutoa mkaa dar kupeleka moro au tanga ni wazo zuri? Ndio nyie motivational speakers wanaweza kuwahamisisha mchukue karafuu kkoo mkauze zanzibar
Mawazo mazuri ndo hayo ya kununua alizeti Dar na kuuza Singida!!?? Ameandika upuuzi mtupu.Usiwe unaleta utoto kwenye mambo serious, Mtoa mada ametoa mawazo yake vizuri wewe unaleta utoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kwamba uchukue mkaa dar upeleke morogoro na Tanga au sijaelewa vizuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
mtaji ndio kisingizio chenu kikuu....cha ajabu mna smart phone za laki nne, sijui hela za kununua hizo simu mnapataga wapi?Unajua lita 100 za asali bei gani? Unajua magunia 10 ya mkaa bei gani? Udhani kila kijana anauwezo wa kuwa na huo mtaji? Au unaongea tu naona akili yako imejaa matope tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni moja tu linalotuumiza vijana wa dar.Mimi nilipoanza kulima ndipo niliona Dar kuna vijana wazembe sana yaani wamekaa na wanawaza kuuza viatu na nguo tu hakuna mawazo mbadala yaani hawawazi mambo makubwa.
Nimetoka Dar na nimefanikiwa katika kilimo ila Dar wanawaza tu kufungua maduka ya nguo, viatu na simu. Mfano kijana hapo Dar kuna magunia mengi ya mkaa yanaingia kila siku kutoka maeneo mbalimbali ukichukua magunia yako 10 na Canter upeleke Morogoro au Tanga ndani ya siku 3 mkaa umeisha unarudi Dar kufunga mzigo mwingine.
Basi achana na hilo la mkaa, chukua zako asali lita kuanzia 100 weka kwenye vibebeo safi na nembo yako pia, ingia Tabora au Singida uza ndani ya muda mfupi unarudi kufunga mzigo mwingine hiyo kumbuka ni chini ya wiki moja unaweza kuuza lita 100 za asali.
Chukua mafuta ya Alizeti kiasi cha kutosha ingia Mwanza piga biashara usisubiri serikalini ikuambie fursa, fursa ni nyingi sana hapo Dar ila wengi wamekariri fursa aina moja tu.
Kama kuna yeyote atakuwa tayari nitamsaidia alete biashara yake huku nitamsaidia kutafuta masoko. Pia mjaribu kwenye kilimo sio biashara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haujaelewa nini sasa, unachukua mkaa dar unapeleka Moro na Tanga,Yani kwamba uchukue mkaa dar upeleke morogoro na Tanga au sijaelewa vizuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
zote ni biashara, kwan vipiNimecheka sana..kwamba asali peleka tabora[emoji1787][emoji1787]ohh yeah ..chukua nazi geita peleka tanga..chukua korosho iringa peleka ntwara
Kaongelea vijana wa mtaani mkuu au hujasoma vizuri ?mtaji ndio kisingizio chenu kikuu....cha ajabu mna smart phone za laki nne, sijui hela za kununua hizo simu mnapataga wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kama unataka kutuingiza chaka, hivi asali ya kutoa wapi uipeleke Tabora au singida ukapige pesa? Au Mkaa wa kutoa wapi ukapige pesa Tanga? hv unadhani Tabora hakuna Asali? Au Tanga hakuna Mkaa?Mimi nilipoanza kulima ndipo niliona Dar kuna vijana wazembe sana yaani wamekaa na wanawaza kuuza viatu na nguo tu hakuna mawazo mbadala yaani hawawazi mambo makubwa.
Nimetoka Dar na nimefanikiwa katika kilimo ila Dar wanawaza tu kufungua maduka ya nguo, viatu na simu. Mfano kijana hapo Dar kuna magunia mengi ya mkaa yanaingia kila siku kutoka maeneo mbalimbali ukichukua magunia yako 10 na Canter upeleke Morogoro au Tanga ndani ya siku 3 mkaa umeisha unarudi Dar kufunga mzigo mwingine.
Basi achana na hilo la mkaa, chukua zako asali lita kuanzia 100 weka kwenye vibebeo safi na nembo yako pia, ingia Tabora au Singida uza ndani ya muda mfupi unarudi kufunga mzigo mwingine hiyo kumbuka ni chini ya wiki moja unaweza kuuza lita 100 za asali.
Chukua mafuta ya Alizeti kiasi cha kutosha ingia Mwanza piga biashara usisubiri serikalini ikuambie fursa, fursa ni nyingi sana hapo Dar ila wengi wamekariri fursa aina moja tu.
Kama kuna yeyote atakuwa tayari nitamsaidia alete biashara yake huku nitamsaidia kutafuta masoko. Pia mjaribu kwenye kilimo sio biashara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waweza pia kung'oa meno watu wenye meno mengi ukayatunza vizuri na baadae ukawauzia vibogoyo. Sijui watu wanakwama wapi.
Ivi na ninyi wanawake munakuwaga na stress?Nimecheka mno yaan..unaanzaje kuwa na stress kwa mada moto moto kama hizi...dah
Ivi na ninyi wanawake munakuwaga na stress?