Fursa za kibiashara Tunduma na Mwanza

Ni kweli mkuu,changamoto niliyonayo ni nafasi ila kuna kijana naweza kumtumia ambaye ni shemeji yangu,naweza kumpatia lak 5 kwa majaribio kwanza.
Aha ha ngoja nikucheke kwanza. Unachotafuta ni kukosana na huyo shemeji yako hakuna lingine.
Inaonekana wewe ni beginner kwelikweli.
Biashara changa hazifanywi ivo.
 
Aha ha ngoja nikucheke kwanza. Unachotafuta ni kukosana na huyo shemeji yako hakuna lingine.
Inaonekana wewe ni beginner kwelikweli.
Biashara changa hazifanywi ivo.
Nipe ABC mkuu
 
Aha ha ngoja nikucheke kwanza. Unachotafuta ni kukosana na huyo shemeji yako hakuna lingine.
Inaonekana wewe ni beginner kwelikweli.
Biashara changa hazifanywi ivo.
Umemwelewq kama nlivomwelew. Ni wazi kabxa huyu hajawahi kufanya biashara aseee....
 
Fursa za mtaji mdogo na ukakuza mtaji ni kuuza matunda viatu vya mtumba viatu vya kike flat yebo yebo hivi vitu vinatoka sana ata ukiwa na mtaji wa laki unaweza kufanya bila shida
Mkuu upo Mwanza? ntaku PM ndugu.
 
Nipe ABC mkuu
Biashara changa simamia mwenyewe pia uwe karibu nayo, kama inafanyika kwa masaa 12 na ukaweka msimamizi jitahidi japo Massa 7 uwepo around kama huwezi kaa full time.
Sasa wewe uko arusha biashara mwanza mtaji 500k mhii unaweza kuona hailipi au haikupi faida kumbe msimamizi wala haimuuzi kichwa na wala hahangaiki nayo.
Kwa dunia ya Leo hakuna kiumbe yuko tayari kutokwa jasho kwa kazi ya MTU in short anzisha hukohuko uliko kama huwezi hamia mwanza. Tofauti na hapo jiandae kukatishwa tamaa au utamwona shemeji hafai.
Japo wasimazi waaminifu wapo ila ni wachache saaana ni sawa na hamna tu.
 
Mimi nina mpango wa kutoka zangu Mbeya kwenda Mwanza kwa inshu hizo hizo sasa kama tunaweza kuaminiana huyo jamaa aliyepo Arusha tufanye kaz pamoja.
 
Ushauri mzuri thx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…