The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Mimi ni mfanyakazi,nimehamishiwa Arusha toka wiki iliyopita na kwa mfumo wa ofisi yangu ntahama baada ya miaka mitano ,naomba wadau mnijuze hivi naweza fanya biashara gani mtaji wangu ni mil 7 nilizolipwa kama transfer benefit,kila nachotaka kufanya nakuta kimesha fanywa tena kwa ubora ,biashara nayoifanya nikiwa mikoa mingine huwa ni baa ,lakini kwa hali ya uchumi ilivyo biashara naona si nzuri hapa Arusha ,ndo maana nikaona niwashilikishe mnidondoshee maujanja.