Ushauri: Arusha biashara karibu zote zimekamatwa na wazee wa kilimanjaro, kwa kifupi kubuni biashara Arusha mjini unatakiwa kukuna kichwa, labda ujaribu kuwa wakala mkubwa wa M pesa na uwe maeneo yaliyochangamka japo naona mtaji huo kama ni mdogoMimi ni mfanyakazi,nimehamishiwa Arusha toka wiki iliyopita na kwa mfumo wa ofisi yangu ntahama baada ya miaka mitano ,naomba wadau mnijuze hivi naweza fanya biashara gani mtaji wangu ni mil 7 nilizolipwa kama transfer benefit,kila nachotaka kufanya nakuta kimesha fanywa tena kwa ubora ,biashara nayoifanya nikiwa mikoa mingine huwa ni baa ,lakini kwa hali ya uchumi ilivyo biashara naona si nzuri hapa Arusha ,ndo maana nikaona niwashilikishe mnidondoshee maujanja.
mwee umasikini umenikabili mimiUshauri: Arusha biashara karibu zote zimekamatwa na wazee wa kilimanjaro, kwa kifupi kubuni biashara Arusha mjini unatakiwa kukuna kichwa, labda ujaribu kuwa wakala mkubwa wa M pesa na uwe maeneo yaliyochangamka japo naona mtaji huo kama ni mdogo
Mbona kibongobongo uko vizuri tu?mwee umasikini umenikabili mimi
Fursa za Arusha ni maandamano tu ya Lema .Mimi ni mfanyakazi,nimehamishiwa Arusha toka wiki iliyopita na kwa mfumo wa ofisi yangu ntahama baada ya miaka mitano ,naomba wadau mnijuze hivi naweza fanya biashara gani mtaji wangu ni mil 7 nilizolipwa kama transfer benefit,kila nachotaka kufanya nakuta kimesha fanywa tena kwa ubora ,biashara nayoifanya nikiwa mikoa mingine huwa ni baa ,lakini kwa hali ya uchumi ilivyo biashara naona si nzuri hapa Arusha ,ndo maana nikaona niwashilikishe mnidondoshee maujanja.
Hivi wewe Kirusi cha Lumumba kwanini kila kitu unakigeuza siasa,Jukwaa la Siasa halijakutosha kuharisha uharo wako mpaka uje na huku?Fursa za Arusha ni maandamano tu ya Lema .
Wanjiruuuuuuuu! Povu la nini!?Hivi wewe Kirusi cha Lumumba kwanini kila kitu unakigeuza siasa,Jukwaa la Siasa halijakutosha kuharisha uharo wako mpaka uje na huku?
Mweleze huyoHivi wewe Kirusi cha Lumumba kwanini kila kitu unakigeuza siasa,Jukwaa la Siasa halijakutosha kuharisha uharo wako mpaka uje na huku?
Kweli kabisa mkuu, vijana wengi wanawaza sana siasa kuliko hata mambo ya kiuchumiMweleze huyo
kilikuu ni bajajiongeza mil tatu iwe kumi nunua kirkuu mbili used za mil tano@, kirkuu kwa wiki inalaza laki, so kwa mwez utakua unalaza laki nane, pia kama we unapenda shughuli za kilimo lima horticulture products ambazo zinachukua miez miwil mitatu arusha zinakubali sana