JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,957
Wanabodi,
Sina haja ya kuelezea faida na changamoto za mikopo, wakopaji wanazo faida na changamoto za marejesho, wakopeshaji nao wanazo faida na changamoto za kukusanya marejesho. Lengo la ukurasa huu ni kupeana fursa za mikopo, elimu ya mikopo na changamoto zake. Wakopeshaji karibuni mtupatie fursa na mashariti yenu, pia kwa wanaojua mikopo ilipo na mashariti yao nao watusaidie ili wakopaji wafaidike, wakopaji nao waseme chanagamoto zao.
Mimi kama mtaalamu nitafanya kazi tu ya uchambuzi wa hiyo mikopo na kuwashauri wakopaji, pia wakopaji wenye changamoto za marejesho nao nitawapa ushauri, wakopeshaji nao nitawashauri changamoto za ukusanyaji marejesho.
Karibuni sana.
Sina haja ya kuelezea faida na changamoto za mikopo, wakopaji wanazo faida na changamoto za marejesho, wakopeshaji nao wanazo faida na changamoto za kukusanya marejesho. Lengo la ukurasa huu ni kupeana fursa za mikopo, elimu ya mikopo na changamoto zake. Wakopeshaji karibuni mtupatie fursa na mashariti yenu, pia kwa wanaojua mikopo ilipo na mashariti yao nao watusaidie ili wakopaji wafaidike, wakopaji nao waseme chanagamoto zao.
Mimi kama mtaalamu nitafanya kazi tu ya uchambuzi wa hiyo mikopo na kuwashauri wakopaji, pia wakopaji wenye changamoto za marejesho nao nitawapa ushauri, wakopeshaji nao nitawashauri changamoto za ukusanyaji marejesho.
Karibuni sana.