Dali Mpofu
Senior Member
- May 9, 2021
- 173
- 328
Naomba niende chap kwenye point yangu. Nimekuwa mzoefu na sehemu za mgodi kwasababu pia nimefanya kazi mgodini,huko buana kuna fura nyingi ambazo zina ela nzuri tu.
Mfano kwa mtu abaeweza akapata spare za machine za mining, magari na mining equipment machine zote utapata ela sana.
Lakini pia kuna zile PPE kama dustmask, gloves, grass pamoja na zile kofia ngumu. Utapata ela. Nakusihii changamkia hii kitu km unauwezo wa kuzipata.
Halafu pia kama unavyo naweza nikayachukua kwako tukafanya biashara. Huko migodini kuna population kubwa ya watu wanaitaji wale wapate mahitaji ya muhimu zote izo ni fursa. Kuna makampuni wanaitaji watu wa kusambazia vifaa vya kazi mfano makampuni ya usafi,makampuni ya upishi na nk. Tusikariri mjini tuu ndugu zangu kuna fursa ziko porini huku km una mtaji wako umetusua.
Mfano kwa mtu abaeweza akapata spare za machine za mining, magari na mining equipment machine zote utapata ela sana.
Lakini pia kuna zile PPE kama dustmask, gloves, grass pamoja na zile kofia ngumu. Utapata ela. Nakusihii changamkia hii kitu km unauwezo wa kuzipata.
Halafu pia kama unavyo naweza nikayachukua kwako tukafanya biashara. Huko migodini kuna population kubwa ya watu wanaitaji wale wapate mahitaji ya muhimu zote izo ni fursa. Kuna makampuni wanaitaji watu wa kusambazia vifaa vya kazi mfano makampuni ya usafi,makampuni ya upishi na nk. Tusikariri mjini tuu ndugu zangu kuna fursa ziko porini huku km una mtaji wako umetusua.