kelvinlewis
JF-Expert Member
- Jan 8, 2018
- 308
- 206
vp wee unauza maji katika mikokoteniChoma hata viazi barabarani, uza mihogo, karanga, matunda, nenda kajitolee popote, tz ardh kubwa omba hata kwa ndugu bush lima pamba, mahindi , nenda eneo lenye shida ya maji uza maji ya mkokoteni n.k
Anza na biashara ndogo ndogo
Kuwa mbunifu na uwr mwaminifu utapanda
Pole sana kijana mwenzanguvp wee unauza maji katika mikokoteni
AsantePole sana kijana mwenzangu