Fus- RABAT, tunaomba Yanga mkae mbali na hawa waarabu

Fus- RABAT, tunaomba Yanga mkae mbali na hawa waarabu

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Fus -rabat hawa ni waarabu wa morocco ni hatari sana kwa kugawa dozi.

Hatua ya 32 bora

Fus rabat 7 Sc villa(uganda) 0 goli zote zilifungwa nchini morroco

Hatua ya 16

Fus rabat 4 stade melein(mali) 0 zote zimefungwa nchini morroco

Hawa jamaa hawana huruma Yanga mjipange hasa.

Mungu awaepushe nao hatua ya makundi.
 
Fus -rabat hawa ni waarabu wa morocco ni hatari sana kwa kugawa dozi.

Hatua ya 32 bora

Fus rabat 7 Sc villa(uganda) 0 goli zote zilifungwa nchini morroco

Hatua ya 16

Fus rabat 4 stade melein(mali) 0 zote zimefungwa nchini morroco

Hawa jamaa hawana huruma Yanga mjipange hasa.

Mungu awaepushe nao hatua ya makundi.
hao wamorroco ndo tunaowataka maana tumeckia nyama yao tamu kama ya simba
 
Yanga wajiandae kwa magoli hatua ya Makundi.!
 
Back
Top Bottom