Fuso dump truck

Fuso dump truck

kmayunga

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
229
Reaction score
165
Habarini wanajamvi,
Hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi hapa jamvini. Ila si mgeni ni mfuatiliaji mzuri wa Jf, nisiwachoshe na blaablaa.
Mimi nina ndoto za kumiliki Fuso dump truck na nina uwezo wa kupata mkopo wa 40m
Naombeni ushauri wenye uzoefu wa hayo magari
Nawezaje kuagiza kutoka nje na model gani ni bora, pia nakaribisha ushauri wowote.
Naomba kuwasilisha hoja
 
Mkuu hongera kwa kuwa na ndoto nzuri ila kwa hesabu naona 40m au 35m ni kodi ya dump tani 12 na kuendelea hizi tipper ndogo kodi tuu ni 25m kwa hiyo utapata kodi bado hela ya kununua hiyo tipper...
 
Mkuu hongera kwa kuwa na ndoto nzuri ila kwa hesabu naona 40m au 35m ni kodi ya dump tani 12 na kuendelea hizi tipper ndogo kodi tuu ni 25m kwa hiyo utapata kodi bado hela ya kununua hiyo tipper...
Nashukuru kwa kunipa ka mwanga
Mimi nilikuwa nataka hizi ndogo chini ya tani 7
 
Ukinunua gari ya biashara kwa pesa ya mkopo utaishia kupata maumivu ya kichwa na presha ya kupanda na kushuka.. Hiyo pesa bora ufanye biashara ingine.
Big up kaka,
Kwa mchango wako wa haraka naweza fanya biashara gani
Mimi nipo singida
 
Big up kaka,
Kwa mchango wako wa haraka naweza fanya biashara gani
Mimi nipo singida
tmp-cam--546467147.jpg
tmp-cam--617557703.jpg
Tafuta hizo Lethe machine, Drill kama hiyo na Grenda kubwa makita na mashine ya kukunja bomba kubwa fungua work shop nadhani hata 16milion havizidi vyote hivyo utafanya kazi popote pale...
 
Nimefurahi kwa mchango wako,
Ni wazo zuri sanaaa
Shida mimi ni tabibu wa binadamu!
Ila nimevutiwa na hiyo kitu
 
Nimefurahi kwa mchango wako,
Ni wazo zuri sanaaa
Shida mimi ni tabibu wa binadamu!
Ila nimevutiwa na hiyo kitu
jaribu mimi ni mhasibu, hizo tools ukipata unaajiri wenye fani zao tuu si lazima ukafanya kitu ambacho ni professional yako angalia fursa huku ukiwa umeajiliwa pia Mkuu
 
Ujue biashara ya gari ni risk sana na pia kodi ni nyingi sana katika gar ya biashara lakini unaweza pia kutafuta sehem ukafungua car wash & car service pia inalipa ila ukitaka kitu unachokidumu kwa taaruma yako fungua hospital yako
 
tmp-cam-1611729085.jpg
tmp-cam--511158402.jpg

hizo car wash machine,, sema tools kazi yake ni ya muda mrefu na kipato kikubwa utapata kuriko car wash..,
 
Mkuu
Habarini wanajamvi,
Hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi hapa jamvini. Ila si mgeni ni mfuatiliaji mzuri wa Jf, nisiwachoshe na blaablaa.
Mimi nina ndoto za kumiliki Fuso dump truck na nina uwezo wa kupata mkopo wa 40m
Naombeni ushauri wenye uzoefu wa hayo magari
Nawezaje kuagiza kutoka nje na model gani ni bora, pia nakaribisha ushauri wowote.
Naomba kuwasilisha hoja

Mkuu ushauri wangu Kama uko interested Na hiyo biashara fanya Kama Dalali pata kazi kodi magari Na siyo vinginevyo.
 
Habarini wanajamvi,
Hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi hapa jamvini. Ila si mgeni ni mfuatiliaji mzuri wa Jf, nisiwachoshe na blaablaa.
Mimi nina ndoto za kumiliki Fuso dump truck na nina uwezo wa kupata mkopo wa 40m
Naombeni ushauri wenye uzoefu wa hayo magari
Nawezaje kuagiza kutoka nje na model gani ni bora, pia nakaribisha ushauri wowote.
Naomba kuwasilisha hoja

Kwa sasa Fuso nzuri yenye engine ya 16 au 17 ukiagiza kutoka Japan na ukiifikisha Tanzania na kumaliza malipo yote itakucost 70,000,000 (Milion sabini)

Hapo pia utakuwa na cost ya kubadirisha spring, road lisence, Sumatra, Vipimo nk

Changamoto kubwa ni kwenye dereva mzuri wa kukutunzia gari na pia akupe faida, lakini kurudisha hiyo Milioni sabini sio mchezo kaka, maderva wengi wanaleta 120,000.00 kama hesabu ya siku, sasa utaichanga vipi na kwa muda gani ndio irudishe 70,000,000.00 na kisha ikupe faida?
 
Kwa sasa Fuso nzuri yenye engine ya 16 au 17 ukiagiza kutoka Japan na ukiifikisha Tanzania na kumaliza malipo yote itakucost 70,000,000 (Milion sabini)

Hapo pia utakuwa na cost ya kubadirisha spring, road lisence, Sumatra, Vipimo nk

Changamoto kubwa ni kwenye dereva mzuri wa kukutunzia gari na pia akupe faida, lakini kurudisha hiyo Milioni sabini sio mchezo kaka, maderva wengi wanaleta 120,000.00 kama hesabu ya siku, sasa utaichanga vipi na kwa muda gani ndio irudishe 70,000,000.00 na kisha ikupe faida?
Kaka kituko
Kweli ni changamoto hasa hapo kwenye dereva
 
Kwa sasa Fuso nzuri yenye engine ya 16 au 17 ukiagiza kutoka Japan na ukiifikisha Tanzania na kumaliza malipo yote itakucost 70,000,000 (Milion sabini)

Hapo pia utakuwa na cost ya kubadirisha spring, road lisence, Sumatra, Vipimo nk

Changamoto kubwa ni kwenye dereva mzuri wa kukutunzia gari na pia akupe faida, lakini kurudisha hiyo Milioni sabini sio mchezo kaka, maderva wengi wanaleta 120,000.00 kama hesabu ya siku, sasa utaichanga vipi na kwa muda gani ndio irudishe 70,000,000.00 na kisha ikupe faida?
Nashukuru kwa mchanganuo mzuri
 
Back
Top Bottom